@health_farm_tz: Katika mahojiano na Dr Matilida Ngarina yaliyofanywa na #mwananchi ametaja kuwa wanaume 2 kati ya 3 wanaoenda Hospital ya taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya Huduma ya IVF wanatatizo la mbegu chache au zilizo na changamoto ya kimuundo. Aidha, Hizi ni baadhi ya sababu zinzoweza kuchangia tatizo la Mbegu chache (Low sperm count) Lishe mbovu, uvutaji sigara, Ulevi wa pombe, matumizi holela ya dawa, uzito mkubwa (Obesity), Maambukizi ya magonjwa ya zinaa kama kaswende, kisonono na chlamydia, Kukaa sehemu yenye joto kali au kuoga maji ya moto mara kwa mara, Matumizi ya steroids hasa kwa body builders, Mionzi ya x-rays, Hormonal Imbalance n.k Na kwa mujibu wa shirika la afya duniani (WHO) linataja kuwa sababu kubwa ya mbegu hafifu au ugumba kwa wanaume ni tatizo la VARICOCELE. Kwa Mantiki hiyo sasa, changamoto ya uzazi sio swala la upande mmoja ni vyema kutazama pande zote mbili endapo mmejaribu kupata mtoto na imeshindikana hasa kwa miezi 12 na zaidi. Credit; Mwananchi ELIMIKA, HAMASIKA, CHUKUA HATUA KABLA MWILI HAUJACHOKA! #healthfarmtz #Lifestyle #ivf #afya

health_farm_tz
health_farm_tz
Open In TikTok:
Region: TZ
Thursday 14 May 2026 05:49:58 GMT
199172
4444
209
1471

Music

Download

Comments

britaingold
Britain gold :
chips isikauke sana weka na mayonaizi😀
2026-05-14 19:58:45
58
mama_africa.tz
naomi :
wanakula sana chips
2026-05-14 09:32:19
85
issamkombo
issa mkombo :
Dr Matilda Ngarina nampenda sana
2026-05-14 14:23:45
29
barefacegirl13
The middle child :
Daktari wangu,, huyu mama 🙌🙌🙌 nampendaaaa Jamani… best doctor ever
2026-05-14 19:18:14
16
farhaty.ally
farhaty ally :
naweza ku comment kwa voice note.. huyu mama mungu amuweke ...Allah amuhifadhi wallah... mm mpka nataka kulia...Alinisaidia mno..issue za uzaz wangu
2026-05-14 15:50:36
33
uzalendoniupendo
Live and eat like a Tanzanian :
MNAGEUZA STORY. HAMSEMI UKWELI
2026-05-15 00:47:36
7
_mictech
Michaelleo :
Sa itakuwaje
2026-05-14 15:12:59
9
vumiliagondo
Vumilia Gondo :
dr wng jamani YESU akutunze jamani🥰
2026-05-14 18:42:49
6
bussinessofficer
SAMMYYYYY :
ww mama muongoooo mweeee
2026-05-15 18:19:39
5
rutyhair
Rutyhair & beauty :
My favorite Dr Ngarina🥰 ana roho nzur kama yeye alivyo mrembo❤️
2026-05-15 04:22:59
5
haika_el
haika :
dr Matilda Ngarina nampenda sana watoto wangu wote wamepita mikononi mwake
2026-05-15 04:18:22
6
martha.paul58
MARTHA PAUL :
Dr ngalina aisee mzuri Sana kwenye issue za wanawake
2026-05-14 17:22:44
7
dis_255
dis_255 :
GMO 🙌
2026-05-15 03:53:42
3
sarah.buberwa
Sarah Buberwa :
nakupenda Dr Matilda, umziuri wa kila kitu hadi sura!
2026-05-15 03:52:39
5
daoly16
Da Oly :
My doctor 🥰🥰
2026-05-15 12:52:33
2
growth_with_zyrah
Zyrah ❤️ :
Allah ampe maisha marefu huyu doctor jmn ni mzur🥰
2026-05-17 08:29:27
0
smart.area
smart area :
Mungu azidi kukuweka Dr upo vizur sana unattended vyema taaluma yako
2026-05-15 13:29:45
4
codec.47
公爵公爵 :
Doctor bora kabisa!!
2026-05-15 07:37:44
3
ash599188
ash :
Dct ngalina🥰
2026-05-15 02:56:24
3
stanslauskomba273
stevu Biko :
lifestyle
2026-05-15 03:37:47
2
iam_dorcasx
𝑫𝒐𝒓𝒄𝒂𝒔🤎 :
Sln ni nn
2026-05-15 04:11:59
3
fundimadishidar
fundi madishi dar :
GMO
2026-05-14 18:45:16
3
kallma22
$ :
Hospital ipo wapi hii?
2026-05-14 16:25:38
3
To see more videos from user @health_farm_tz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About