sito sahau ile siku ambayo uliniambia ya kwamba unanipenda sana nami nika jibu nakupenda pia lakini sasa una lazimisha na mimi niseme na kuchukia pia lakini mi sitaki sio mtu wa hivyo maana nilikupenda kweli
2026-05-15 17:05:34
4
chama jr :
imekuta mwez uliyoisha mbaka sasa sitaman kupenda tena ,ni bora tu niwe busy na kazi na maisha mengine 😥💔💔