@jamila_digestivecare3: #🔥 ACID REFLUX inaweza kusababisha koo kubana na maumivu ya koo bila wewe kujua! Watu wengi hudhani koo kubana ni mafua au tatizo la kawaida, lakini wakati mwingine chanzo kinaweza kuwa ni acid reflux. Asidi inapopanda kutoka tumboni kwenda kwenye koo, inaweza kusababisha: ✔️ Koo kubana ✔️ Kukauka kwa koo ✔️ Maumivu au muwasho wa koo ✔️ Kukohoa mara kwa mara ✔️ Harufu mbaya mdomoni ✔️ Sauti kubadilika au kupotea mara kwa mara Ukiona hali hii inajirudia kila siku, usipuuzie mapema kabla haijawa kubwa zaidi. 📩 Unasumbuliwa na acid reflux au koo kubana? Nitumie ujumbe sasa upate ushauri wa nini cha kufanya.#jamila Digestive care #ACID_REFLUX #tonsilis #gas