Huu ni ukweli mtupu kwa yeyote aliyewahi kuchimbua kuhusu hili, Barua hiyo nimeisoma mwaka 2011 na hapo ukawa mwisho wangu kwenda kanisani
2026-07-16 20:55:02
6
Mwanaharakati mweusii :
jamaa utaenda peponi salute
2026-05-22 13:41:12
17
mjmanjoe :
unaongea vzr,,tatizo ni kutokua na uthibitisho,,
2026-07-14 14:09:28
2
Eddo soldado :
mungu yupo ila kwa namna ujuavyo HIZI dini kuwa nazo makini
2026-06-17 19:48:37
8
chivany🇨🇩🇨🇩 :
asante davi 👏👏👏
2026-06-17 19:42:18
3
Mathias Mohamed :
nawaambiaga Kila siku kaka🥲🥲
2026-07-02 10:16:48
3
Prince Secrece :
Hii Barua niliipata mwaka Jana... Ilaaa ukweli huu... niliupata kwa Mwl. wa History... kwenye Biblia iliyoachwa na Waingereza .... So Dini Huwa sio vitu vyangu toka mda .. Ilaaa Mungu nimeamua kumfata katika njia nyingine... 💗💯
2026-07-19 10:43:52
4
👁New Brand In Town🔥 :
HOTEP
2026-06-15 14:05:25
2
jey winningstone ♉️ :
sasa ulikuwepoooo
2026-07-09 19:19:19
2
wakakonko1 :
iyo wakibisha mimi ntachoka et mmoja anasema amuulize chatgpt inamana anaamini sana inshu ya chatgpt ni mungu
2026-07-04 09:18:06
2
Kadinalikatto :
Doooh,,! sasa nimekuta et mtu anasema aulize chat gpt, ina maana yy anaamin gpt imetoka kwa mung ama..??
2026-06-29 10:40:21
2
Ezechiel Kvro :
ina tiya uruma kwelii 🥺🥺🥺
2026-06-02 16:56:16
2
fredy :
ila wewe jamaa nakukubali
2026-06-02 17:43:40
3
Jullio Scaver :
oya noma sana🤣🤣🤣
2026-06-18 07:47:31
2
cosmas leon :
Nakubali Sana
2026-05-22 09:10:25
2
Lucian :
Sentence ya mwisho kwenye script imeandika “Happy are........ Because The kingdom of God is for them”
2026-07-16 20:45:44
3
JR RK🫵 :
loe nime wakosoa wabongo live tikitok wamenichukia eti
2026-06-03 11:25:11
2
sokamilemdzagalindodi :
Hii ni ukweli
2026-06-17 18:20:50
1
HERODEtz :
Sijui Hawa watu walituona kama kitu gani
2026-06-19 06:57:02
1
Masunga Daniel :
nakubali 💯💯💯
2026-05-14 17:17:08
4
Alke- Bulan🌍 :
mamayeee washenzi hao.
2026-05-23 07:20:24
1
Fox9 :
legendary na hilo watabisha
2026-06-18 16:46:19
1
mawlid :
hu ndio ukwel
2026-06-18 18:35:53
0
To see more videos from user @__davi1_, please go to the Tikwm
homepage.