@wepesitv: Daktari bingwa wa afya ya uzazi, Dkt. Matilida Ngarina, amesema wanaume wawili kati ya watatu wanaofika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kwa ajili ya huduma ya IVF hukutwa na changamoto ya mbegu chache au zenye matatizo ya kimuundo. Hayo yamesemwa Katika mahojiano yaliyofanywa na gazeti la Mwananchi, Dkt. Ngarina amesema kwa wanaume changamoto ya Ubora wa Mbegu umeongezekana. 🎥 @mwananchi_official 👍 Like | 💬 Comment | 🔁 Share
WEPESI TV
Region: TZ
Friday 15 May 2026 10:55:48 GMT
Music
Download
Comments
franciskarest :
Doktar upo wapiii
2026-05-16 11:03:48
2
@ANNE :
Dr.Ngalina God bless you ulinizalisha mwanangu kijana sasa anakusalimu
2026-05-16 15:53:05
4
zzzzzzlly :
Dr naomba msaada niandae sh. ngapi?
2026-06-08 04:44:18
0
agnesstendwa :
Dr wangu wa nyakati zote barikiwa sana
2026-05-17 14:23:27
3
Bernadetha Kivenule :
God bless you my Fav Dr Ngarina 🥰🥰
2026-05-17 18:49:47
2
wow123 :
doctor tiba ni nini?
2026-06-06 11:43:04
0
tegemeamlelwa :
waooo dr wangu nimekumic kwa kweli
2026-05-17 13:35:01
2
Elizabeth Makiya :
doctor Ngarina muhimbili hospital, upo vizuri sana doctor. mungu awabariki madactari.
2026-05-18 04:50:02
1
Bakari Kimaro :
asante Mungu kwa kunipa watoto 5 alhamdulilay kumbe kunawatu wanapambana sana 🤔🤔🤔aisee
2026-05-18 16:26:32
0
Nankule mohamed Mkumba :
nambaaa
2026-05-17 18:55:51
0
Melanine__. :
Dr umenenepa hatari
2026-05-16 14:51:32
1
user3165862083145 :
dr alinipotezea mtoto wangu
2026-05-17 12:38:36
0
DACOURT :
unamstimulate kwa njia gani Dr?
2026-05-16 07:12:37
2
user7617324906688 :
dr hongera saana kwa kazi ngumu hivi kuwastimert mnatumia nini?
2026-05-18 11:16:28
0
Careen ally :
doctor Mimi niliharibu mimba mbili na nachukua muda kubeba, mwaka mzima natafuta mimba na nikibeba inatoka
2026-06-06 13:27:14
0
To see more videos from user @wepesitv, please go to the Tikwm
homepage.
© 2021-2026 TikWM. All rights reserved.