“Huenda siku moja nisiwepo hapa, lakini maoni yangu yataendelea kuwepo, na vizazi vijavyo vitayasoma. Hivyo nashuhudia kwamba hakuna mungu anayestahiki kuabudiwa isipokuwa Allah, na Mtume Muhammad (rehema na amani ziwe juu yake) ni mjumbe wa Allah ❤️. Yeyote atakayesoma hili, tafadhali uwe shahidi wangu Siku ambayo tutasimamishwa mbele ya Mola wetu. In shaa Allah. Mwenyezi Mungu atusamehe madhambi yetu, Ameen.”
2026-05-17 10:10:23
15
Omari omari :
Allah Atupemwisho mwema
2026-05-17 12:17:21
4
zay :
Allah tujalie mwisho mwema 🙏🙏🙏
2026-05-17 14:03:10
6
user2067652975638 :
mashaallah, unatengenezaje video ya aina hii
2026-05-15 18:34:39
5
Mujitaba Mickidady :
hapa Sasa umeniweza
2026-05-17 18:16:00
3
BIN...J :
Assalamu allaykum warahmatullahi wabarakatu Naomba unifundishe ili nitangaze dini insha'Allah