@willl00000: #fbtxuhuong #willxuhuong #xuhuongtiktok

𝙒𝙞𝙡𝙡
𝙒𝙞𝙡𝙡
Open In TikTok:
Region: VN
Friday 15 May 2026 23:19:08 GMT
5808040
223334
3366
8526154

Music

Download

Comments

.khanhvl
vi sieunhan# :
chuỗi tim a
2026-05-18 07:55:08
216
_hehehe0709
người cute thích cuto :
chuỗi timm
2026-05-16 15:20:07
165
newtrick_ndk
rối em nhờ :
chuoi timmm
2026-05-18 07:40:13
143
hnghi1216
sean :
chuoi timm 💝
2026-05-16 13:13:58
149
minhhai9561
Minh Hải :
chuỗi tim ạ
2026-05-18 11:36:57
179
nqanh230
🌻 :
chuỗi tim
2026-05-17 05:47:20
147
qkien_iuemzz
☘️ :
ai chuoi khom taa
2026-06-05 04:12:12
7
hacutehotme10
𝔹𝕦́𝕟𝕟 :
Chuỗi với tui
2026-06-01 16:28:06
10
xaxi_1911
xaxi_1911 :
Chuỗi với mình đi mn
2026-06-02 01:33:25
7
bc25685
người lì🙂‍↕️ :
ai chuỗi ko ạ
2026-06-02 07:46:44
6
nhichipp36
n. :
chuoii tim
2026-06-02 13:55:17
8
mtuan__08
T :
chuỗi timm
2026-05-18 06:21:34
191
aiuempess
aiuempe💤 :
chuỗiiii
2026-06-02 02:10:56
5
_lnqz_0
_linhmiuu :
Chuoi timm
2026-05-16 23:24:53
137
lonely_18th8
0 sau doi. :
chuỗi tim ạ
2026-05-16 22:29:59
139
miss23_9_2023
~This na love ❤️‍🩹 :
chuỗi tim
2026-05-16 15:14:12
140
t.nin26
Thuỷ Tiên :
chuỗi timm hoặc ib
2026-06-02 10:30:51
5
myduyenhahahihi
𝑭𝒐𝒂𝒎 :
chuỗi chuỗi mn oi
2026-06-02 01:48:56
5
iloveyou.0124
Kem cte 🥵🥵 :
Chuỗi tim ạ
2026-05-16 13:14:26
146
gialincuteyeu
gl :
chuỗi tim t tự ib
2026-05-18 08:10:07
219
30._1t
hd :
chuỗi tim tự tìm
2026-05-17 06:11:45
213
trngocthmyyy
Cua Anh Không Thành :
chuoi tim nho😋
2026-05-17 23:17:32
228
khanhduy_w
duy :
chuỗi tim
2026-05-17 11:08:37
343
hnhh136
Hạnhh :
chuoi timm
2026-05-16 13:08:44
194
cuoc.song.gia.taoo
Quỳnh Như :
ai chuỗi tim ạ
2026-05-16 17:06:40
145
To see more videos from user @willl00000, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Jeshi la Magereza limefafanua utaratibu wa upunguzaji wa vifungo kwa wafungwa, likisisitiza kuwa hauhusiani na kuhesabu “usiku na mchana” kama baadhi ya wananchi wanavyodhani, bali unazingatia sheria na kanuni zilizowekwa. Kamishna wa Huduma za Urekebu wa Jeshi la Magereza, CP Amina Kavirondo, ameyasema hayo wakati wa ziara ya waandishi wa habari waliotembelea miradi ya Magereza katika maeneo ya Msalato na Vyeyula jijini Dodoma. Amesema mara nyingi kumekuwepo na malalamiko kutoka kwa wananchi wanaoshangaa kuona wafungwa waliokuwa wamehukumiwa vifungo virefu wakitoka mapema, huku wakihusisha hali hiyo na vitendo visivyo halali. “Wapo wanaosema tumekuwa tukihesabu usiku na mchana ndiyo maana wafungwa wanatoka mapema. Hii si kweli. Tunafuata sheria. Mfungwa ana haki ya kupata punguzo la theluthi moja (1/3) ya kifungo chake mara tu anapoingia gerezani, isipokuwa kwa wafungwa wa maisha au wale wa adhabu ya kunyongwa,” amesema CP Kavirondo. Amefafanua kuwa kwa mfano, mfungwa aliyehukumiwa kifungo cha miaka 30, kisheria anaweza kutumikia miaka 20 kutokana na punguzo hilo, endapo atazingatia nidhamu na taratibu za gereza. Kutokana na hilo, amewataka wananchi kuacha kudhani kuwa askari wa magereza wanahusika na vitendo vya rushwa pale wanapoona wafungwa wakitoka mapema, akisisitiza kuwa taratibu zote zinafanyika kwa mujibu wa sheria. “Wasidhani askari wamekula fedha. Hii ipo kisheria na imewekwa makusudi ili kumpa mfungwa matumaini na kumjenga kisaikolojia aweze kuishi gerezani kwa utulivu na kufuata maelekezo,” ameongeza. Aidha, amesema mbali na punguzo hilo la kisheria, pia kuna misamaha mbalimbali ikiwemo ile ya Rais, pamoja na mifumo ya vifungo mbadala kama parole, ambapo mfungwa anaweza kutumikia sehemu ya kifungo chake gerezani na kumalizia nje chini ya uangalizi. CP Kavirondo amesisitiza umuhimu wa jamii kubadili mtazamo hasi dhidi ya wafungwa, akieleza kuwa si sahihi kuamini kuwa kila anayehukumiwa lazima amalize kifungo chake chote gerezani. “Wananchi waondoe ile dhana ya adhabu pekee (punitive perception). Lengo si kumkomesha mtu kwa kumweka gerezani muda wote, bali ni kumrekebisha ili arejee katika jamii akiwa bora,” amesema. #UhondoTVUPDATES
Jeshi la Magereza limefafanua utaratibu wa upunguzaji wa vifungo kwa wafungwa, likisisitiza kuwa hauhusiani na kuhesabu “usiku na mchana” kama baadhi ya wananchi wanavyodhani, bali unazingatia sheria na kanuni zilizowekwa. Kamishna wa Huduma za Urekebu wa Jeshi la Magereza, CP Amina Kavirondo, ameyasema hayo wakati wa ziara ya waandishi wa habari waliotembelea miradi ya Magereza katika maeneo ya Msalato na Vyeyula jijini Dodoma. Amesema mara nyingi kumekuwepo na malalamiko kutoka kwa wananchi wanaoshangaa kuona wafungwa waliokuwa wamehukumiwa vifungo virefu wakitoka mapema, huku wakihusisha hali hiyo na vitendo visivyo halali. “Wapo wanaosema tumekuwa tukihesabu usiku na mchana ndiyo maana wafungwa wanatoka mapema. Hii si kweli. Tunafuata sheria. Mfungwa ana haki ya kupata punguzo la theluthi moja (1/3) ya kifungo chake mara tu anapoingia gerezani, isipokuwa kwa wafungwa wa maisha au wale wa adhabu ya kunyongwa,” amesema CP Kavirondo. Amefafanua kuwa kwa mfano, mfungwa aliyehukumiwa kifungo cha miaka 30, kisheria anaweza kutumikia miaka 20 kutokana na punguzo hilo, endapo atazingatia nidhamu na taratibu za gereza. Kutokana na hilo, amewataka wananchi kuacha kudhani kuwa askari wa magereza wanahusika na vitendo vya rushwa pale wanapoona wafungwa wakitoka mapema, akisisitiza kuwa taratibu zote zinafanyika kwa mujibu wa sheria. “Wasidhani askari wamekula fedha. Hii ipo kisheria na imewekwa makusudi ili kumpa mfungwa matumaini na kumjenga kisaikolojia aweze kuishi gerezani kwa utulivu na kufuata maelekezo,” ameongeza. Aidha, amesema mbali na punguzo hilo la kisheria, pia kuna misamaha mbalimbali ikiwemo ile ya Rais, pamoja na mifumo ya vifungo mbadala kama parole, ambapo mfungwa anaweza kutumikia sehemu ya kifungo chake gerezani na kumalizia nje chini ya uangalizi. CP Kavirondo amesisitiza umuhimu wa jamii kubadili mtazamo hasi dhidi ya wafungwa, akieleza kuwa si sahihi kuamini kuwa kila anayehukumiwa lazima amalize kifungo chake chote gerezani. “Wananchi waondoe ile dhana ya adhabu pekee (punitive perception). Lengo si kumkomesha mtu kwa kumweka gerezani muda wote, bali ni kumrekebisha ili arejee katika jamii akiwa bora,” amesema. #UhondoTVUPDATES

About