@kambi_health: Acid reflux inaweza kusababisha hisia za hofu, panic, au hata kuhisi kama unakaribia kufa kwa sababu dalili zake zinaweza kufanana sana na matatizo makubwa ya moyo au kupumua. Pia kuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya tumbo na mfumo wa neva. Baadhi ya sababu kuu ni hizi: * Maumivu ya kifua: Acid reflux inaweza kuleta kuchoma au kubana kifuani, hali ambayo watu wengi huihusisha na heart attack. * Kukosa pumzi: Asidi inapopanda inaweza kukera koo na njia ya hewa, ukahisi kama hupumui vizuri. * Mapigo ya moyo kwenda kasi: Maumivu, discomfort, na panic vinaweza kuongeza adrenaline, moyo ukaenda mbio. * Vagus nerve stimulation: Tumbo na koo vinaunganishwa na neva inayoitwa vagus nerve. Kukereka kwake kunaweza kuleta kizunguzungu, panic, au hisia za “something is wrong.” * Anxiety na reflux kulishana: Wasiwasi unaweza kuongeza acid reflux, na reflux nayo ikaongeza anxiety — hivyo mtu anaingia kwenye mzunguko. Kwa msaada wa tiba na ushauri tuwasiliane direct kwa namba zilizopo bio #acid #USA #fyp #tiktok #fypシ゚viralシ
KAMBI HEALTH ||
Region: TZ
Saturday 16 May 2026 10:14:58 GMT
Music
Download
Comments
bibahstyles.tz :
Aisee current situation🥺🙌Shifaa Ya Allah🤲🤲
2026-05-17 11:59:37
35
walki234 :
kweli
2026-05-31 03:47:08
1
Macho Suleymani😍 :
Mna tusaidia vp
2026-05-16 18:18:31
6
Nemahronious🇿🇲🇹🇿 :
ni kwer
2026-05-17 09:53:24
3
mwaj :
Ni kweli
2026-05-19 04:28:48
1
sureyya naycy :
Baking soda jamaniii woiii nashukuru nimekaa poa
2026-05-17 16:16:35
5
pinnah :
hiyo kitu imenifanya nateseka chuoni siwezi kusoma kwa amani ni huzuni kwakweli
2026-05-21 17:42:48
2
Salvation_Jj :
My situation 😭😭😭😭
2026-05-21 13:24:13
1
IT’S ‘G’🍂🌸 :
Ni kweli 🥺 nimetoka kumaliza dawa jana nlikuwa natuma adi msg kwa niwapendao 😢😢 nlikuwa najua sik zangu za mwisho zimefika 😭
2026-05-18 18:58:55
2
Blandina Marko :
Tatizo sio maelekezo.. Tatizo ni uhakika wa daw... Mim nimeshachoka doctor.. I have been using a different dawa za acid reflux.. Matokeo yake ni hafifu.. Sasa nimehamia kwenye herigo kit for hyparoli. Naona inanituliza kwa asilimia 85.
2026-05-17 15:38:18
1
good :
napataje msada jaman
2026-05-20 13:07:38
1
halim :
tatizo la gesi
2026-05-19 18:42:54
1
SoniaSemeni :
Tujitaidi kuchek Afya zetu kwa madaktari nakama muislam soma surat ikhras ×1 Surat faraqx1 na surat nnasx1..vutapumzi hemea kwenye mikono puliza x3 then jipangusie kilasehemu yamwiliwako kablayakulala na ukiamka tu.🙏inshallah kwauwezowa Allah🤲 na km mkiristo muombemungupia...hakikisha unamuamini mungu na unafata ushauri wa daktari🤲🙏
2026-05-19 09:46:51
3
Assia :
Mimi hiyo Hali imenitesa sana ila nimesaidiwa na mpera mpk asaivi nimekaa sawa kbs Hadi siamini
2026-05-17 17:02:12
2
pie nepple_🍍🌼 :
Yaan kama hujaumwa acid unaweza ukabisha💔
2026-05-18 08:29:27
4
Alia :
acheni uoga chakuwasaidia ni ikiapa ,kueni karibu na mungu namjiepushe na maovu alioyataja mungu amri zake, utaofia tena kifo ,inshallah jiandae vyema kabla munguakuchukue🥰🥰🥰🥰
2026-05-18 20:38:33
2
Winstone Mbele :
huwa nahisi hivyo jamani nitumie nini na ina maana gani hii hofu
2026-05-19 13:36:24
1
Hellen B🦋 :
nisaidie jamn nateseka
2026-05-19 05:31:28
1
Azizah💗 :
hii kitu inanitesa sana
2026-05-17 13:54:29
0
user4186177245948 :
Ndio najua na nateseka huu mwaka wa 10
2026-05-17 22:54:06
1
faylove :
Hali zote nimewah pitia sema ni Mungu tu nilipima magonjwa yote hakun mwish wasiku wakuniambia au unawaza nn aisee inatesa hii Hali sitak kukumbuka
2026-05-19 07:29:26
1
Tynerstore :
Leo nimeshikia
2026-05-18 22:45:51
1
Yasmin🥰 :
hii Hali unapenda kujirudia kwangu na hofu ya maradhi maradhi pia ... eeeh mwenyezi mungu nakuomba Niondole hili janga unipee hafueni ya haraka insha'Allah
2026-05-17 19:43:52
4
eve♥️🥰 :
hii Hali ndio naipitia saiv
2026-05-18 14:02:32
1
Hanifa Abubakar128 :
hii nayo ni kweli wallah 😢😢
2026-05-18 19:20:50
1
To see more videos from user @kambi_health, please go to the Tikwm
homepage.