@maryam.zanzibar: Unageuka kushoto… Unageuka kulia… Unarekebisha mto mara 700 😂 Unaenda chooni kila dakika 20 🚽 Halafu mtoto tumboni anaanza mazoezi ya karate 🥲💔 Umechoka sana… Lakini usingizi unasema: “Leo siyo siku yako.” 😩 Ukweli ni kwamba… Hili ni jambo la kawaida sana kipindi cha ujauzito 👇🏽 📍SABABU ZAKE: ✅ Homoni za ujauzito hubadilika sana ✅ Mtoto huwa active zaidi usiku ✅ Kibofu hukandamizwa haraka ✅ Maumivu ya mgongo na kiungulia huvuruga usingizi ✅ Hofu ya uchungu na kujifungua huifanya akili ikose utulivu Na wakati mwingine… Dakika ileile unayotaka kulala 😭 Mtoto anaanza mechi ya mpira tumboni ⚽😂 Lakini mama sikiliza hili vizuri 🚨 🛑 Kukosa usingizi ukiwa mjamzito kunaweza kusababisha: ❌ Kuchoka kupita kiasi ❌ Hasira na mood kubadilika haraka ❌ Stress nyingi ❌ Kuchoka kiakili 📍VITU VINAVYOWEZA KUSAIDIA: 💧 Kunywa maji ya kutosha mchana 🛏️ Lala kwa ubavu (hasa upande wa kushoto) 📱 Punguza mwanga wa simu kabla ya kulala 🎵 Sikiliza muziki wa utulivu 🧸 Tumia mito kusaidia tumbo na miguu Na tafadhali mama… 🥺💖 Usiteseke kimya kimya. Wajawazito wengi hulia usiku kutokana na uchovu na mawazo bila kumwambia mtu yeyote 💔 Ujauzito si wa mwili tu… Ni wa hisia pia 🤍 Kwa hiyo kama unaamka usiku wa manane ukiscroll Facebook au TikTok… Jua tu kuna wajawazito wengi wako macho pamoja na wewe 😂🤰🏽🌙 Endelea kufuatilia post zangu kwa elimu zaidi ya ujauzito na uzazi salama ambayo wakati mwingine hufundishwi vizuri kliniki 🥰 Nurse Presh cares 💕
Nimekesha kuanzia saa nne usiku hadi SAA kumi na mbili asubh Ndyo nikalala nimeamka saa 3🤣🤣
2026-05-22 11:49:17
1
Rumaisar albussaidy :
asante sana
2026-05-18 17:50:24
1
Leah :
c unaona kama mimi nimeshtuka saanane mpaka saiv nimekosa ucngz nimeamua kuingia TikTok
2026-05-20 00:19:50
1
Peter Rimoy :
Mmh!🥰🌹
2026-05-19 12:22:45
1
ummy thu❤️ :
🙏dear
2026-05-19 04:51:22
1
ayu :
Asante
2026-05-17 13:48:53
1
Komba Girl🥰 :
Asante sana
2026-05-18 09:31:31
1
Staż😋dom :
Mimi kila ikifika saa nane usiku au saa 10 usiku natafuta usingizi kama nyege 😭😭😭nikajua ni mm pekeangu😂😂
2026-05-18 16:48:04
5
user195703492342 :
Mimi kwangu inakuanga njaaa🤣
2026-05-19 06:31:59
1
bimzuri6 :
☺️☺️basi tuu
2026-05-17 19:50:45
1
user6027335415079 :
asante
2026-05-18 02:02:49
1
cutemama,,, :
Mimi uyo 🥺
2026-05-18 07:53:01
1
Sasha :
Mbn mie hizo Hekaheka sizipati n npo stage ya mwisho
2026-05-31 09:53:04
0
anstaziejackie :
nakushukuru sana Mungu wangu, ninapata usingizi mzuri na wa kutosha sijawahi ona. hii hata sielewi niielezeje jamani sijawahi ona kwa watoto wangu wote. ila huyu jamani nalala kama sina kitu kwa tumbo. asante sana Yesu wangu
2026-05-30 08:34:57
0
To see more videos from user @maryam.zanzibar, please go to the Tikwm
homepage.