SUB'HANA LLAH! Huyu bwana, ana khasara kubwa sana, mbele ya ALLAH.
2026-05-19 10:35:09
16
@خالدالعمودي :
mashaallah umefafanua kwa uzuri sana na ndio ukweli,tujihadhari kwa ilmu yetu tunapoielezea.
2026-05-19 17:10:30
24
Shilingi254 :
makurafi wanatabu sana
2026-05-19 18:10:18
5
Hussein Abdulrahman :
hii nayo sikubaliani nalo,baba ya kipenzi chetu🥹
2026-05-20 13:01:45
9
Al nadhir :
subhana llah dohh umesahau kua kizazi cha Mtume kilihifadhiwa mpaka kuzaliwa Mtume sws
2026-05-21 13:07:57
8
saidinleee :
Bafana anapend kujiamulia mambo
2026-06-09 18:04:58
7
gafzo :
shekh bafana jau sana
2026-05-20 07:30:40
7
Gustavo :
JazakaLLAH khairan, endeleeni kujibu hoja maana hawa watu wanaojiita salafi skuizi wanaleta mambo mengi ya ajabu
2026-05-19 17:50:53
13
user26302811337061 :
wewe sasa unaongea nini sasa faaaala
2026-05-19 19:50:37
5
Setembo the boy :
Allah awasamehe wazazi wamtume muhammad s,a,w nawazazi wangu na uwajaalie miongoni mwa watu wapeponi🤲🤲🤲
2026-05-19 18:07:21
26
RAM JAN KHAN :
Upo sawa kabisa pia sheikh bafana kateleza sio niseme kakosea ila tuna hitaji kheri zaid hasa wale watu wa comment achen jazba bafana nae ni mwanadamu anakosea kikubwa uffanuzi Umeeleweka kabixa jazakallah kheir