Mwaka 2013 rafiki zangu wawili walinikosoa nisijenge nyumba badala yake nifanye biashara nikawaambia Nina familia ya watoto wawili sitapata amani kama nitaendelea kupanga. Leo Nina nyumba kadhaa na biashara ila wao hata viwanja hawana na biashara hawana.Nyumba Ni muhimu Kama una familia.
2026-05-21 08:13:21
71
kindrox bright :
Tuanze hapa 3,600,000/1,100 =3,273. Ambayo ni idadi ya tofari hizo ulizo sema sasa hizo tofari hazito jengwa zenyewe zitaitaji 1.cement 2.mchanga 3.kokoto 4.nondo 5.mbao 6.misumari 7.bati 8.maji. Na variable cost zingine ingesaidia sana kama ungeweka na mahesabu ya hivyo vitu vingine ingesaidia sana.
2026-05-20 12:44:03
25
msafiri potami :
jmn mimi nipeni sh45,000,000 nakujengea vizuri sana nyumba ya room3 za kula bila shaka kabisaaaa
2026-05-20 16:30:27
5
NishaQA :
So kweli iyo pesa ndogo kiwanja tu milio 250 adi milion 3
2026-05-20 16:11:27
6
R munishi :
hii uongooo 3600000 ni choo au tatizoo mahesabu hamfanyi vizuri ni kudanganya watu tu vyumbaa vitatu na sitting room lazima 45 mpaka 70 million mpaka ikamilikee
2026-05-20 19:15:57
2
Tzs estoking :
Sijui nimeelewa vizuri ila nilivoelewa pesa anayotumia kupanga kwa miezi sita ni 1.8m na kwa mwaka ni 3.6m na 3.6m inatosha matofali ya kujenga nyumba ya vyumba vitatu na sebule jiko na dining kwahy kwa hela atakayolipa kodi kwa miaka minne ambaya unafanya 3.6x4=14.4m mpk nyumba ikamilike kwahy ukiwa na 15m unajenga nyumba yako nzuri 😊
2026-06-09 10:01:12
2
Isaac :
Binafsi nakuelewa sana Boss
2026-05-21 13:17:50
1
braytonnorobeth1 :
Jaman hsidanganyike hyo pesa ni ndogo saaana
2026-05-20 17:18:29
1
Madam-teacher ❤️ :
Mnanichanganya jamani na mimi Nipo kutafuta ramani niweke kibanda changu
2026-06-12 16:06:54
1
j12345 :
tofali sass 1300
2026-05-23 19:46:34
0
chuqaa :
sio kweli
2026-06-22 05:45:48
0
manenofabian :
nimeelewa hapa mwkn naanz ujenz
2026-05-22 12:48:30
0
Robert :
nauza popcorn machine bei poah kbsa 150 location Mbagara
2026-06-17 20:17:21
0
user9466592086173 :
naomba namba
2026-05-21 05:08:23
0
ALUTE MEDIA UPDATES :
Mzee hii kweli
2026-05-25 17:41:56
0
tobastian chelango :
mh
2026-05-20 19:52:49
0
Peace :
1,000,000 x 3,600,000 unamaanisha?
2026-05-22 22:58:10
0
Thina Deriki :
nyumba nimhimu sana
2026-05-21 13:59:40
0
Bella :
mmh ya kweli haya
2026-05-20 11:38:24
2
my name is.. :
boss iyo pesa me ninayo nataka unijengee iyo nyumba
2026-05-20 17:07:09
1
Zephyr :
hiyo ni nyumba au gofu
2026-05-21 10:54:08
0
@barnaba_kulele :
mmmh really??!
2026-05-20 15:53:39
0
user6946800816018 :
mbn kilakityu kalibu jmn😭
2026-05-20 19:03:59
1
benxon08 :
haija ongea kiingereza hapo, skimming, finishing, wiring
2026-05-21 15:12:05
0
Peace :
1,000,000 x 3,600,000 unamaanisha? Au milioni 3.6?
2026-05-22 23:00:37
0
To see more videos from user @batibora2, please go to the Tikwm
homepage.