@phgiang97: POV: Đi họp phụ huynh nhưng bị kéo vào gameshow tạo dáng trong 15 giây 🤣 Các bố mẹ ban đầu: “Ngại lắm cô ơi…” 5 phút sau: tạo dáng còn sung hơn cả học sinh 😌📸 Không khí vui cực, phụ huynh kết nối với con hơn, lớp học cũng gần nhau hơn rất nhiều 🫶 Phụ huynh chơi hết mình, các con cười hết cỡ ❤️ Hoá ra những buổi họp đáng nhớ nhất lại đến từ những khoảnh khắc đơn giản như vậy ✨ Ai cần file trò chơi + slide mẫu thì ib mình nha 🌷 #hopphuhuynhcuoinam #giaovientieuhoc #baitaphe #giaovien #hopphuhuynh

Phí Hà Giang
Phí Hà Giang
Open In TikTok:
Region: VN
Thursday 21 May 2026 14:49:13 GMT
20558
595
68
76

Music

Download

Comments

sac22_10_95
Phạm Sắc ❤️❤️🐰🐾 :
Cô cho e xin giá ạ
2026-07-05 01:05:58
0
dothiha77hl
Đỗ Hà7225 :
hay quá ❤️❤️
2026-05-22 03:18:57
1
nham_miu
Nhà của KemKen :
Cô cho mk xin file với ạ
2026-05-23 04:49:26
0
vio_ttt
‿༊ҭéლ࿐ :
Cô cho e xin file ạ
2026-05-22 16:43:57
0
baoboi7388
Bảo bối :
Hay quá ạ, cô ơi em xin với ạ
2026-05-22 15:30:16
0
cogiaohuongelly.93
H🤍 :
M xin file ạ
2026-05-22 04:40:58
0
thanhhmai3112
thanhhmai3112 :
Mình xin file ạ
2026-05-23 05:43:18
0
songngan111
Song Ngân :
Cô cho mình mua file với ạ
2026-05-22 16:01:54
0
biramen0701
Bi Ramen :
cô cho em xin file ạ
2026-05-25 05:01:32
0
do100497
trangdo :
cho e xin file với ạ💕
2026-05-22 23:27:13
0
_bongbogn_
Bống Bống :
Cho em xin file vs ạ 😁
2026-05-23 06:59:53
0
14_quang.ninh_
꧁༺๖ۣۜ 🦆 Chíp ๖ۣۜ༻꧂ :
cho m xin với ạ 🤭 vui quá
2026-05-22 16:28:09
0
diana.huelwen
Kỳ Mặc Vũ :
Mình xin file với ạ
2026-05-25 05:36:25
0
thaithao_meung
Thái Thảo ☘️ :
E xin file ạ
2026-05-22 06:23:28
0
huekhenh121199
Cô Huệ nè🥰 :
Cô cho e xin file ạ
2026-05-22 05:15:21
0
thaonguyen120397
Thảo Nguyên8697 :
Chị cho em xin file với ạ
2026-05-22 14:07:17
0
ngocbich22121993
Moon Xinh Yêu shop :
Mình xin file vs ạ
2026-05-22 03:58:33
0
kimanh_9
Ánh Kòy :
Cô cho e xin file ạ
2026-05-22 03:20:42
0
thaohan75
Hân Thảo :
Cô cho mình xin file
2026-08-25 12:20:45
0
cochongtronggmm_0511
thu hà :
Ib
2026-08-15 01:55:53
0
ckip3bi
Chíp Cute ^^ :
ccho m xin file với ạ.ạ
2026-08-06 13:32:25
0
mthu_020104
Minh Thư Nguyễn 04 :
Cho mình xin file với ạ
2026-08-05 02:31:36
0
jellynguyen335
Jellynguyen :
ib ạ
2026-08-01 07:28:12
0
nhatminh27092018
Thanh Thuỷ :
ib m với ạ
2026-07-30 15:49:02
0
tbinh1907
Bình Nhi :
cô ơi, cho mình xin file với ạ
2026-05-23 14:22:59
0
To see more videos from user @phgiang97, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

📖 Masomo ya Misa Jumamosi, Agosti 29, 2026 KUMBUKUMBU YA KUKATWA KICHWA KWA YOHANE MBATIZAJI  Somo la kwanza Yer 1:17-19 Neno la Bwana lilinijia, Haya basi, wewe jifunge viuno, ukaondoke, ukawaambie maneno yote niliyokuamuru; usifadhaike kwa ajili yao, nisije nikakufadhaisha wewe mbele yao. Maana, tazama, nimekufanya leo kuwa mji wenye boma, na nguzo ya chuma, na kuta za shaba, juu ya nchi yote; juu ya wafalem wa Yuda, na juu ya wakuu wake, na juu ya makuhani wake, na juu ya watu wa nchi hii. Nao watapigana nawe; lakini hawatakushinda; maana mimi nipo pamoja nawe, asema Bwana, ili nikuokoe. NENO LA BWANA....TUMSHUKURU MUNGU  Wimbo wa Katikati Zab 71:1-6,15,17 Nimekukimbilia Wewe, Bwana,
 Nisiaibike milele.
 Kwa haki yako uniponye, uniopoe,
 Unitegee sikio lako, uniokoe.  
 (K) Kinywa changu kitasimulia haki yako.
 
 Uwe kwangu mwamba wa makazi yangu,
 Nitakakokwenda sikuzote.
 Umeamuru niokolewe,
 Ndiwe genge langu na ngome yangu.
 Ee Mungu wangu, uniopoe mkononi mwa mkorofi.  
 (K) Kinywa changu kitasimulia haki yako.
 
 Maana ndiwe taraja langu, Ee Bwana Mungu,
 Tumaini langu tokea ujana wangu.
 Nimekutegemea Wewe tangu kuzaliwa,
 Ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu,
 Ninakusifu Wewe daima.  
 (K) Kinywa changu kitasimulia haki yako.
 
 Kinywa changu kitasimulia haki na wokovu wako,
 Mchana kutwa; maana sijui hesabu yake.
 Ee Mungu, umenifundisha tokea ujana wangu,
 Nimekuwa nikitangaza miujiza yako hata milele.  
 (K) Kinywa changu kitasimulia haki yako. Shangilio Mt 5:10 Aleluya, aleluya,
 Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki, maana ufalme wa mbinguni ni wao.
 Aleluya. Injili Mk 6:17-29 Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu, kumkamata Yohane, akamfunga gerezani, kwa ajili ya Herodia, mkewe Filipo ndugu yake; kwa kuwa amemwoa; kwa sababu Yohane alimwambia Herodi, Si halali kwako kuwa na mke wa nduguyo. Naye yule Herodia akawa akimvizia, akataka kumwua, asipate. Maana Herodi alimwogopa Yohane; akimjua kuwa ni mtu wa haki, mtakatifu, akamlinda; na alipokwisha kumsikiliza alifadhaika sana, naye alikuwa akimsikiliza kwa furaha.
 Hata ilipotokea siku ya kufaa, na Herode, sikukuu ya kuzaliwa kwake, alipowafanyia karamu wakubwa wake, na majemadari, na watu wenye cheo wa Galilaya; ndipo binti yake yule Herodia alipoingia, akacheza, akampendeza Herode na wale walioketi pamoja naye karamuni. Mfalame akamwambia yule kijana, Niombe lolote utakaloniomba nitakupa, hata nusu ya ufalme wangu. Basi akatoka, akamwuliza mamaye, Niombe nini? Naye akasema, Kichwa cha Yohane Mbatizaji. Mara akaingia kwa haraka mbele ya mfalme, akaomba akisema, Nataka unipe sasa hivi katika kombe kichwa cha Yohane Mbatizaji. Mfalme akafanya huzuni sana lakini kwa ajili ya viapo vyake, na kwa ajili ya hao walioketi karamuni, hakutaka kumkatalia. Mara mfalme akatuma askari, akaamuru kuleta kichwa chake. Basi, akaenda, akamkata kichwa mle gerezani, akakileta kichwa chake katika kombe, akampa yule kijana, naye yule kijana akampa mamaye. Wanafunzi wake waliposikia habari, walikwenda wakauchukua mwili wake, wakauzika kaburini. NENO LA BWANA....SIFA KWAKO EE KRISTO
📖 Masomo ya Misa Jumamosi, Agosti 29, 2026 KUMBUKUMBU YA KUKATWA KICHWA KWA YOHANE MBATIZAJI Somo la kwanza Yer 1:17-19 Neno la Bwana lilinijia, Haya basi, wewe jifunge viuno, ukaondoke, ukawaambie maneno yote niliyokuamuru; usifadhaike kwa ajili yao, nisije nikakufadhaisha wewe mbele yao. Maana, tazama, nimekufanya leo kuwa mji wenye boma, na nguzo ya chuma, na kuta za shaba, juu ya nchi yote; juu ya wafalem wa Yuda, na juu ya wakuu wake, na juu ya makuhani wake, na juu ya watu wa nchi hii. Nao watapigana nawe; lakini hawatakushinda; maana mimi nipo pamoja nawe, asema Bwana, ili nikuokoe. NENO LA BWANA....TUMSHUKURU MUNGU Wimbo wa Katikati Zab 71:1-6,15,17 Nimekukimbilia Wewe, Bwana, Nisiaibike milele. Kwa haki yako uniponye, uniopoe, Unitegee sikio lako, uniokoe. (K) Kinywa changu kitasimulia haki yako. Uwe kwangu mwamba wa makazi yangu, Nitakakokwenda sikuzote. Umeamuru niokolewe, Ndiwe genge langu na ngome yangu. Ee Mungu wangu, uniopoe mkononi mwa mkorofi. (K) Kinywa changu kitasimulia haki yako. Maana ndiwe taraja langu, Ee Bwana Mungu, Tumaini langu tokea ujana wangu. Nimekutegemea Wewe tangu kuzaliwa, Ndiwe uliyenitoa tumboni mwa mama yangu, Ninakusifu Wewe daima. (K) Kinywa changu kitasimulia haki yako. Kinywa changu kitasimulia haki na wokovu wako, Mchana kutwa; maana sijui hesabu yake. Ee Mungu, umenifundisha tokea ujana wangu, Nimekuwa nikitangaza miujiza yako hata milele. (K) Kinywa changu kitasimulia haki yako. Shangilio Mt 5:10 Aleluya, aleluya, Heri wenye kuudhiwa kwa ajili ya haki, maana ufalme wa mbinguni ni wao. Aleluya. Injili Mk 6:17-29 Herode mwenyewe alikuwa ametuma watu, kumkamata Yohane, akamfunga gerezani, kwa ajili ya Herodia, mkewe Filipo ndugu yake; kwa kuwa amemwoa; kwa sababu Yohane alimwambia Herodi, Si halali kwako kuwa na mke wa nduguyo. Naye yule Herodia akawa akimvizia, akataka kumwua, asipate. Maana Herodi alimwogopa Yohane; akimjua kuwa ni mtu wa haki, mtakatifu, akamlinda; na alipokwisha kumsikiliza alifadhaika sana, naye alikuwa akimsikiliza kwa furaha. Hata ilipotokea siku ya kufaa, na Herode, sikukuu ya kuzaliwa kwake, alipowafanyia karamu wakubwa wake, na majemadari, na watu wenye cheo wa Galilaya; ndipo binti yake yule Herodia alipoingia, akacheza, akampendeza Herode na wale walioketi pamoja naye karamuni. Mfalame akamwambia yule kijana, Niombe lolote utakaloniomba nitakupa, hata nusu ya ufalme wangu. Basi akatoka, akamwuliza mamaye, Niombe nini? Naye akasema, Kichwa cha Yohane Mbatizaji. Mara akaingia kwa haraka mbele ya mfalme, akaomba akisema, Nataka unipe sasa hivi katika kombe kichwa cha Yohane Mbatizaji. Mfalme akafanya huzuni sana lakini kwa ajili ya viapo vyake, na kwa ajili ya hao walioketi karamuni, hakutaka kumkatalia. Mara mfalme akatuma askari, akaamuru kuleta kichwa chake. Basi, akaenda, akamkata kichwa mle gerezani, akakileta kichwa chake katika kombe, akampa yule kijana, naye yule kijana akampa mamaye. Wanafunzi wake waliposikia habari, walikwenda wakauchukua mwili wake, wakauzika kaburini. NENO LA BWANA....SIFA KWAKO EE KRISTO

About