Poleni.millioni kumi ya Tanzania 🇹🇿 Nikama elfu mia moja ya Kenya 🇰🇪. 😢😢
2026-05-24 19:30:09
26
Anania Laiton :
kwa nini wanamajina mawili mawili
2026-05-22 11:58:16
13
रिओन...✨🥰 :
pole denis wangu🥹💔
2026-05-25 10:07:16
5
user5489999807401 :
haloo huo ni msiba wa taifa pole sana
2026-05-22 10:14:07
66
Eva Daud :
mm siwez enda kuomba kazi apo maana hasira zote zitaishia kwangu
2026-05-25 10:02:00
13
Sheru2 :
Ina uma sana ,mimi ninae angalia machozi
yana nitoka.
Kwa kweli serikali na kampuni ziwajibike
na machifu kuhukumu kesi hii ni maumivu
ya Taifa zima na aibu kwa nnchi yetu.Poleni sana.
2026-05-23 11:59:39
25
Mussa Mpota :
Aloo ASKOFU GWAJIMA na PADRI KITIMA Tuombe MUNGU Huu MSIBA Usimfikiee JET LEE na DON YEEN. TANZANIA🇹🇿 Tutakuwa kwenye wakati Mgumu Saana
2026-05-23 19:46:30
7
MALIHA'S KITCHEN _SINGIDA :
wallaniwe 🥺🥺
2026-05-22 13:18:36
5
user5627601526580 :
Poleni sana Allah awape subra
2026-05-23 03:56:51
16
ibraah🥶 :
Mabibo hapo
2026-05-22 22:32:46
5
Martha mkandi :
pole sana
2026-06-06 11:53:41
1
😎The🤬 boy☠️ :
ayo majina nashindwa kuelewa
2026-06-25 14:21:33
2
Mary Mwamsiku :
kumbe ni compun jamani wameshaharibu
2026-05-22 16:10:31
13
sam swaggz :
walioaminika ni jamii ya ulinzi sasa ni jamii ya uharibifu😭😭🥲🥹
2026-05-23 10:44:52
7
user9292273900287 :
pole kaka mungu atawapa nguv piha unaogea kwa kujitaidi sana uko safi kiswahili
2026-05-22 21:16:58
5
Rose luhanjala :
Pole sana sana mungu atatenda katika hili janm nimeumia sana mungu hatonyamaza kamwe kwaajili ya hao wauwaji
2026-05-22 08:35:07
6
joo :
dah inauma sio poa
2026-05-22 09:08:18
6
prisca jumanne :
pole sana
2026-06-07 04:12:47
1
KIMUTHO :
iv anajua kma ametrendi kisa msiba😃
2026-06-07 02:23:37
1
Chriss :
pole sana jamani
2026-05-27 17:32:56
2
werasontz :
I’m Habar wanaTiktok..
Mi kwa mtazamo wangu, na maoni yangu, nadhani inabidi niweke sawa kwamba kwa maneno machache sana niseme mimi kama mm naweza kuwa na mtazamo ambao Nitapenda kusema kuwa kwa maoni yangu naona ni vema kueleza kuwa inabidi sasa niweke sawa maelezo yangu kuwa hili suala ni ambalo kwa maoni yangu naona kuwa maneno ambayo naweza kueleza kwa ufundi sana na kutokana na mawazo yangu. Sasa nimalizie kwa kusema kuwa naona mawazo yangu ambayo yanaeleza kuwa mtazamo ambao mimi binafsi ningetamani kusema kuwa inabidi maelezo haya ambayo nayatoa ni kwamba, kwa maneno machache nieleze kuwa naweka wazi ya kwamba maoni yangu na mawazo yangu naeleza kuwa mtazamo huu ni kueleza kuwa sina la maana ndugu zangu
2026-05-25 21:55:44
4
zodwa❤️ :
I'm so sad
2026-05-26 00:01:38
1
Muyanga🔩🔨🔧 :
mwenye anaoji anauliza maswali y ufala
2026-05-25 19:17:15
3
To see more videos from user @israhglobaltv, please go to the Tikwm
homepage.