@emanuel_walwa: Bonds za serikali na UTT Amis ndiyo suluhisho lako la pesa nyingi na za haraka. Kama umeuza hisa ukapata faida 10x zaidi basi wekeza government bonds kulinda pesa zako. Na wewe mfanyabiashara Hisa ni suluhisho lako la kuwekeza sababu una kipato cha uhakika kila mwezi. Pia elimu hii unaipata kwenye kitabu cha "Hisa, Akiba na Uwekezaji" kilichoandikwa na Emilian Busara. Jifunze zaidi kuhusu hisa. Pia kama unataka kukutana na wasomaji wa vitabu, waandishi na wachambuzi wa vitabu, basi Transformation Book Club ni chaguo lako. Tazama video nzima kupitia SCCULT Online TV. #Hisa #UTTBondFund #Bonds #PawaPod