Leo ndo nimemaliza kusikiliza hii podcast nimejiskia kulia😒😒dunia inatuvuruga mpaka tunasahau tulikua na ndoto toka tukiwa wadogo tumeshazipotezea kabisa😔😞
2026-05-28 02:41:47
2
𝙄𝙩𝙘 𝙋𝙚𝙡𝙡𝙖 𝙅𝙧.. :
me nlitamani niwe mwanasayansi nigundue tiba ya ukimwi mana nliona watu wanahangaika sana bila tiba....ila ndo nshachepukia ukanda mwingine tayr😣
2026-06-01 21:20:00
1
GGM :
plan ni kuwa na shamba kubwa na kuwa na mifugo mingi toka utotoni but now napiga kazi za ufundi pesa nazopata malengo ni kuendea sasa ndoto zile za utotoni
2026-05-23 18:51:35
2
Medd_13 :
Hivi ndo vitu tunapaswa kuvipatia Muda sio clip za............ga