@alzenjbarytechnology: 📱 Watu wengi wanaamini ukipokea simu ya namba mpya unaweza kupoteza sehemu za siri… 😳 lakini ukweli ni huu! Hakuna technology ya simu inayoweza kuathiri mwili wa binadamu kupitia kupokea call. 📡 Simu hutumia mawimbi ya redio kubeba sauti tu, si nguvu za kubadilisha au kuharibu viungo vya mwili. ⚠️ Hatari halisi ipo kwenye: • Utapeli wa simu • Kuombwa OTP au password • Links fake (phishing) • Social engineering 👉 Simu haiwezi kukuathiri kimwili, lakini inaweza kukuathiri kifedha kama ukidanganywa. #Technology #Simu #MythVsUkweli #ScamAlert #DigitalSafety