kwa sasa nimeacha bangi japo hujasema bangi ila ilinifanya niwe mtu wa kukaa pekeangu na pia nilikua nasikia saut yang ya ndani in real kuna video yako ulikua umeanz kusem kam yna dalil hiz ujue upo kweny safari ya kuamka kiroh ukaelez jins mtu anavyopitia ndipo nilipoanza kujua nipo in awekned kwa sas nimeachilia watu wengi na maumivu ya inner chird nimefungua all chakras na nina maish mazur ninapata kila ninachokitaka najua jinsi ya kumanifest na mengin mengi naendelea kujifunza kupitia universe
2026-05-25 19:00:20
13
Iseeyou🙂 :
Mimi ni mtu ambae sisumbuliwagi na depression wala anxiety nilishamalizana nayo kitambo nikaanza upya ever since nakuaga na amani sana. Mimi ni mtu ambae sinaga mda wa kumeditate au kureason vitu sana i just live. Hizi siku za karibuni kila nikikaa mawazo yanakuja kichwani yale nakumbuka vile vitu vibaya nilivyofanyiwa, au vitu ambayo vilinitokea vibaya due to uzembe wangu hence nauliza, is this my message to take time to meditation?
2026-05-25 08:57:34
5
Jane mshindi :
Dada habari,nilifanya meditation ya kioo na kuangalia k yangu nikaanza kublidi palepale na sasa ni mwezi haijakata,nifanyeje?
2026-05-26 13:11:33
0
subr🇹🇿 :
najiribu hakika ♥️
2026-06-14 17:23:36
1
Madam Ramona :
Mimi nikianza tuu nasinzia hii ikoje...na mwisho wake najikuta nalala kabisa
2026-05-26 09:41:20
4
Rish lyrics :
AHSANTE MWALIMU
2026-05-25 16:10:02
1
beauty Mimi :
Asante mtoto mzuri
2026-05-26 03:22:23
1
salvina_111 :
Na mimi ninaelala nikifanya meditation je?
2026-05-26 06:19:56
1
Kipenzi cha Mizimu ❤🙏 :
Asante mwalimu 🥰
2026-05-25 17:35:53
1
Rahma Masanja :
kuna kitu nataman kuongea na ww dada
2026-05-25 08:10:33
2
mamaafrika_verhalen :
natakiwa kufanya meditation Kila siku?
2026-05-25 16:02:45
1
carljetha :
asante kwa majibu 🙏 unaelezea vizuri sana
2026-05-26 15:45:02
1
My girl❤️ :
mm ndoto na hisia🙌 huwag mara nying kweli
2026-05-25 16:22:07
2
Asia Mwambene :
umeeleweka kipenz 🥰🥰🥰
2026-05-25 08:17:03
1
𝒂𝒖𝒓𝒂✨♏ :
Mimi napitiwa na usingizi ñikitaka kumeditate😩
2026-05-25 11:26:32
2
Codekiller :
nauliza rose water yanakaz gan jaman naomben mnijibu
2026-05-25 18:29:54
1
Ummy salim :
Bei gani
2026-05-25 08:27:32
1
£lv!ň Ĉl£v£rl :
ila nilitambua universe iliniletea video zako ili niweze kujua nilipo sabab kila video niliyokua naiyona ndio ilivyokua situation ninayopitia mpaka kuja kumfahamu mungu wa kweli niligharamia kwa maumivu yenye furaha ndani yake🥰🥰
2026-05-25 19:04:48
1
Teresia :
Mimi nakuupendaga
2026-05-29 00:29:39
0
Solistice Kanuve :
Napenda sana meditation
2026-05-28 11:20:08
0
user3130180258249 :
jmn kama mimi yani mambo yanaingiliana sana mpk nachanganyikiwa nasikiliza lipi
2026-06-21 03:50:59
0
I am that I am -IamMados. :
uwezi tumia bhangu swali tu??
2026-06-14 14:43:24
0
kingkinya :
unayo HARITAKI?
2026-06-09 19:12:51
0
Mouhamadtarcki26 :
ok leo na me ntajaribu bahna😅
2026-06-03 18:35:19
0
Slay with Irene :
Thank Madame 🥰
2026-05-25 12:40:56
0
To see more videos from user @_awery, please go to the Tikwm
homepage.