@adv.witness: Under the Personal Data Protection Act, posting someone’s image on a business page without proper consent may amount to unlawful processing of personal data. In Complaint No. PDPC/CMP/002/2025, the Respondent was ordered to pay TZS 20,000,000 as general damages, fined TZS 5,000,000 by the Commission, and directed to delete all posted photos within 14 days. // Chini ya Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, kuposti picha ya mtu kwenye ukurasa wa biashara bila ridhaa sahihi kunaweza kuwa matumizi yasiyo halali ya taarifa binafsi. Katika Complaint No. PDPC/CMP/002/2025, mshtakiwa aliamriwa kulipa fidia ya TZS 20,000,000, faini ya TZS 5,000,000 kwa Tume, pamoja na kufuta picha zote ndani ya siku 14. #SheriaImerahisishwa #LawMadeEasy #AquilaAttorneys #AdvWitness#SheriaZaWatoto
Adv. Witness
Region: TZ
Monday 25 May 2026 09:20:04 GMT
Music
Download
Comments
Aggy🌺 :
Wakili msomi afu mrembooo uwiii🥰❤️
2026-05-25 11:37:18
399
fraudtrendstz :
Umeelezea vizuri sana wakili. Personal Data Protection Act haicheki na yeyote
2026-05-25 11:45:09
190
💔❤️🩹 :
Me sjaskia chochochote I’m amazed by how beautiful you are mashallaaaah😹
2026-05-25 17:19:16
57
Viola Julius :
Waambie maana wengi hawajui .
2026-05-25 09:53:42
125
CHAUDELE :
may this video go viral🥺🥺
2026-05-25 10:32:19
54
Emmaventure safaris :
vipi mm nime postiwa ulaya
2026-05-25 12:07:37
70
Strongicome :
We mzuri sana bwana wee
2026-05-25 13:28:25
13
Dr E. H.Maeda :
Somo zuri sana, wakili msomi. salute 🫡
2026-05-25 10:34:36
40
user9443187684777 :
THIS IS VERY GOOD...
YOU EXPLAINED PERFECTLY,
YOU ARE A VERY SMART ADVOCATE.
WENYE MASKIO WAELEWE HAYA
NA SHERIA HII!!!!!
2026-05-26 20:26:07
6
Maryhanna Elisha :
huwezi amin nimesikiliza mpk mwisho🥰
2026-05-25 12:40:46
18
Callie Mbwambo :
When Mother Nature was a person.😍
2026-05-25 14:26:21
6
SK_LuxeMart :
Forgive me your honor😩wewe ni mrembo sana, Asante kwa taarifa thou🫶🏾
2026-05-25 12:21:01
22
Hafidhafel :
Nikiwa kama fashion designer naomba kufahamu ikiwa nimepost picha ya mteja wangu amevaa nguo ambayo mimi ndo nimeifanyia design na kuitengeneza hii inakaaje kisheria?
2026-06-06 10:39:54
6
🦋Trece😍 :
Somo zuri sana mahii
2026-05-25 11:06:13
9
miss Lucie🖤💖😘💫 :
ahsante baby ila mungu atusaidie sis mawinga 😭😭😭
2026-05-26 11:24:35
5
DanielWarema :
Mimi mwanangu alitekodiwa na msanii mkubwa nyimbo ya Dayoo ft. Rayvany nyimbo inaitwa nitambe nimekuja kuona baada ya hiyo nyimbo kwenda viral. Nimewasiliana nao ila ni km hawana mpango wowote wa kushirikiana na mm
2026-05-27 04:37:01
5
UNCLE J🧠💪🚖 :
SAUT YAKO MIMI TU HOII🤗🥰🥰😂
2026-05-26 06:19:25
5
Mwaju✨ :
Unavyoelezea haumchoshi msikilizaji🥰
2026-05-25 13:21:16
9
Santiago Simba 🦁 🦁 🦁 :
weeee kumbe? mama nakufollow haraka kumbe mi tajiri na sijui?
2026-05-25 11:31:29
52
Babe_Eyes :
Wewe ndo wakili wangu kuanzia leo 🥰
2026-05-25 13:33:13
5
Ja Rule :
Sikulipi
2026-05-25 11:11:54
16
Hallun🧃🕹️🎮 :
Me nimependa Tu unavoongea ok anyway naomba luhusa nipost hii video yako kwny account yangu ili wengine wajifunze zaid🙏🙏🙏
2026-05-25 12:31:42
36
Signature Scents :
Somo kubwa sana ... hii post ifike mbali watanzania wengi wanajiamulia sana
2026-05-25 13:11:48
7
_____Miss Blossoms 🦋 :
Nimekupenda jmn🥰🥰 ur tooo clean 🥰
2026-05-25 11:28:13
5
To see more videos from user @adv.witness, please go to the Tikwm
homepage.