@koudijstanzania: Wafugaji wengi wamekuwa wakipata changamoto ya Watoto wa Nguruwe, kuharisha sana. Fuatilia makala hii, kuweza kufahamu chanzo na namna ya kuzuia changamoto hiyo. Koudijs tupo na wewe bega kwa bega, ili kuhakikisha unapata matokeo yenye tija katika ufugaji wako. Endelea kutumia bidhaa kutoka Koudijs, kwa matokeo yenye tija katika Ufugaji wako. @asantefarm_25 Kwa msaada zaidi, tafadhali wasiliana nasi 0742 905 350 #Koudijs #FeedingPerformance #Tanzania #Pigs