@afya.care.kwanza: ⚠️ MAKOSA 3 YANAYOONGEZA VIDONDA VYA TUMBO ⚠️ Watu wengi wanahangaika na maumivu ya tumbo, kiungulia na gesi bila kujua kuna tabia wanazifanya kila siku zinazoongeza vidonda vya tumbo 😢 ❌ 1. Kuruka milo au kukaa njaa muda mrefu Tumbo likikaa tupu kwa muda mrefu, acid huendelea kuzalishwa na inaweza kuharibu ukuta wa tumbo zaidi. Hali hii huongeza maumivu, kiungulia na vidonda. ❌ 2. Kutumia dawa hovyo bila ushauri Matumizi ya mara kwa mara ya dawa kama painkillers yanaweza kuathiri ukuta wa tumbo na kuongeza vidonda bila wewe kujua. ❌ 3. Kula vyakula vinavyochochea acid Pilipili nyingi, vyakula vya mafuta mengi, soda, kahawa na kula usiku sana vinaweza kuongeza acid tumboni na kufanya hali kuwa mbaya zaidi. 🚨 Ukiona dalili kama: • Kiungulia cha mara kwa mara • Maumivu ya tumbo • Gesi nyingi • Kichefuchefu • Moto kifuani au kooni Usipuuze mapema. 📩 andika neno TUMBO nikutumie ushauri sahihi mapema kabla hali haijawa kubwa zaidi.#VidondaVyaTumbo #AcidReflux #Kiungulia #AfyaYaTumbo #Hpyroli

Afya care kwanza +255742324166
Afya care kwanza +255742324166
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 25 May 2026 13:15:55 GMT
3029
14
8
3

Music

Download

Comments

serahsarah67
serahsarah :
tumbo
2026-05-26 00:00:48
1
kiringililiangmail.com
qudy :
tumbo
2026-05-25 18:58:31
1
rehemabdallah0
mahe :
Tumbo
2026-05-25 18:57:22
1
shadrackocharo
Shadrack Ocharo :
TUMBO
2026-05-25 17:55:41
1
reyrajabu
reyrajabu25 :
tumbo
2026-05-26 07:47:05
1
To see more videos from user @afya.care.kwanza, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About