@dangah_medics: 🚨 UKIONA DAMU YAKO YA PERIOD NI NYEUSI NA INA MABONGE MAKUBWA… USIPUUZIE! Huenda si hedhi ya kawaida kama unavyodhani. Inaweza kuwa ishara ya: ⚠️ Mkusanyiko wa damu kwenye mfuko wa uzazi ⚠️ Mabadiliko makubwa ya homoni ⚠️ Fibroids ⚠️ Changamoto za mfumo wa uzazi Ukiona inaambatana na: ❌ Maumivu makali ❌ Harufu isiyo ya kawaida ❌ Kutokwa na mabonge mara kwa mara ❌ Hedhi nzito kupita kiasi Mwili wako unaweza kuwa unakupa warning ya mapema. Wengi hupuuza hadi tatizo linakuwa kubwa zaidi. Umewahi kuona damu nyeusi yenye mabonge kwenye period? Niandikie “NISAIDIE” inbox nikuelekeze. 📩 #flypシー #tiktoktanzania🇹🇿 #flyppppppppppppppppppppppppppppppp #afya #tiktokkenya