@adobert: Sasa Unaweza kupokea pesa kwa Paypal na kuzitoa kupitia Mpesa App #Paypaltanzania #MpesaApp #Vodacom #Adobert #paypal #Mpesa #vodacomTanzania

Adobert Albert
Adobert Albert
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 27 May 2026 17:50:23 GMT
18976
1036
53
72

Music

Download

Comments

iam_hasheem
HASHEEM. :
Paypal user not linked na natumia voda
2026-05-28 03:09:33
4
mdeemriddim
Mdeem Riddim :
Paypaul, paypo, paypal Vodacom wametisha.
2026-05-27 18:47:10
8
francislucy326
Lucina Francis :
Mbona nina app ya mpesa lakini sioni paypal
2026-06-03 09:30:19
1
user8514531982258
Upendo :
💯🥰 nahitaji hiyo Account ya pay pal
2026-06-06 15:28:19
0
yancyeen
Nancy fredrick :
verification failure kwa watu wote
2026-05-28 07:10:47
1
nicholaus.grace
Nicholaus Grace :
haipokei pesa jamani kutoka nje
2026-05-27 20:27:36
2
tharealalexander
Westeros :
Verification Error it doesnt work
2026-05-28 15:51:54
1
shehzad._.shabbir
𝗦.𝗛.𝗘.𝗛.𝗭.𝗔.𝗗 :
ata ikiwa Dola?
2026-05-27 23:56:12
2
kash_us30
kash :
thnks for the information
2026-05-27 18:52:26
2
japokajas
Japokajas :
PayPal
2026-05-27 18:04:04
1
mpembakid
MN¥ATU~KIDD🥷 :
paypal
2026-06-02 06:35:06
0
17th_century
seventeenth :
it works🙌 voda wapo kijanja sana
2026-05-28 08:04:08
1
iamjordyjac_12backup
ur.j0rdy_😎 :
kaka unaunganishaje Paypal na Vodacom?
2026-05-27 19:32:51
1
shax2105_shop
shaxdully :
Mimi nimetoka kutumiwa pesa ☺️☺️☺️
2026-05-31 09:37:26
0
user94446900769934
mbutalo. og :
uwakika
2026-05-28 09:03:26
0
savio_338
Savio_21 :
simu Yangu inagoma ku connect Mpesa app shida inaweza kuwa nn
2026-06-01 19:45:36
0
hans88875
Hans :
kweli inafanya kazi
2026-05-29 09:04:18
0
kelvin.nyanja
kelvinnyanja :
Voda wametisha sana
2026-06-03 11:01:38
0
ohitslauraa1
Ohitslauraa✪ :
Hii I want to receive the money in my PayPal in dollars, but it’s keeps on converting
2026-05-28 14:20:44
0
clouds_im
cloudy rain :
Tuonyeshe uthibitisho kuwa umepokea malipo kutoka nje. Ni rahisi sana
2026-05-28 11:29:39
0
ambele_marijani
ambele_marijani :
Shukran kaka nimelink bhana, nimekuwa nahangaika sana, ilifika wakati inabidi nimtumie jamaa yangu Kenya then ananitumia via mpesa!
2026-06-14 11:58:38
0
manuel_tz
ManueI | Architect :
Ndo wanakata difference ya 100 per dollar
2026-05-28 18:44:13
0
musabetrace
Musa BETRACE :
Big up Vodacom ,,ni kweliiii😂😂😂
2026-05-28 15:33:49
0
thatatson
Artson ♏️ :
Airtel sijui wanakwama wapi 💔
2026-05-28 18:37:21
0
kalian360
mawio🌄🌇 :
Na msubiri Airtel 😞
2026-05-28 10:47:25
0
To see more videos from user @adobert, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About