@freddiehealthcare: tumbo la mwanadamu lina asidi(tindikali)inayotumika kumeng'enya chakula indapo hii asidi itazidi ikafikia koo lako ,italeta athari kama Kiungulia ambacho wengi hupitia hii hali ,hiyo sio kawaida chukua hatua mapema kupata tiba sababu wengi wamekuwa wakitumia dawa za kutuliza tu Kiungulia na baada ya dawa kuisha hali urudi tena chanzo ni kuzidi kwa kiwango cha asidi Kiungulia ni tatizo hivo inakubidi kushughulikia wingi wa asidi ili kurudi kwenye kiwango chake ,uweze kuondokana na hayo maumivu ya kiungulia na tumbo #tiba #tiktokhealth #viraltiktok #dawa #acidreflux