@usertug918k6sz: ON YOUTUBE TONIGHT🖤🐝🖤#trending #ugandanmusic #freestyle

MIGOS📚KLOSET🧠DRIP OR DIE📚📚
MIGOS📚KLOSET🧠DRIP OR DIE📚📚
Open In TikTok:
Region: UG
Thursday 28 May 2026 08:42:10 GMT
48341
4668
314
588

Music

Download

Comments

akramkstyles45
Akram k styles🔥🐐🦅 :
am ur fan naye this song noooo
2026-05-28 13:03:01
35
l.m.bash
Basharts :
first to comment # Drip god
2026-05-28 08:43:28
26
fullygazaland
FullyGaza🖖🔪 :
mwana yo mom is so proud of you
2026-05-28 15:02:55
15
mukasajoseph866
King King Von :
Migos closet never give up men that is our new song🥳🥳
2026-05-28 08:47:04
15
did.it.with.mac
Mac. :
the table you shaking has expensive drinks
2026-05-28 18:19:00
7
streetvoice.youn
STREET VOICE MONEY OR DIE 🤍🩺 :
ITS TO HARD
2026-05-28 08:54:35
8
voltage.256
Võłtãgę256⚡️⚡️⚡️ :
Banange akasajja kakuba lyrics
2026-05-28 09:09:04
5
mmgadgetshub
Harvest☄ :
The drip god 🔥🔥
2026-05-28 14:40:00
6
shadyshadiest
SHAMRAN :
MANA MANA MANA
2026-05-28 12:50:35
8
dripking1111
𝕯𝖗𝖎𝖕 𝕶𝖎𝖓𝖌 :
Big tune 🎵
2026-05-30 08:26:43
1
slimville.47
Lone Wolf🦍🇺🇬 :
eno ndalamu boo 🔥
2026-05-30 04:27:20
1
gunterhiobythelostianboy
🚀✈gunter🥾Omar🔥❤🥊 :
kadayo Mana😁😁😁
2026-05-28 13:18:40
5
dannyskyz
Danny💙skyz :
But what did our mana did to this world 🥲
2026-06-08 09:17:52
1
dkpato8
D,K pato :
mana mana
2026-05-30 07:52:54
2
iansandals
IANSANDALS👟👟🥾🥿👠👡 :
mana
2026-05-29 12:28:21
2
nocturne.specter
Nocturne specter lyf style :
migos on top
2026-05-29 18:27:39
2
am.von5
Am.von…💕sytlez✈️ :
My star ⭐
2026-05-29 08:53:25
1
To see more videos from user @usertug918k6sz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

RAIS DKT. MWINYI: SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA KWA WANANCHI Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuimarisha huduma za msaada wa kisheria ili kuhakikisha wananchi wanapata haki kwa wakati, kwa usawa na kwa ufanisi. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo, tarehe 20 Juni 2026, kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa uzinduzi wa Awamu ya Pili ya Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uliofanyika katika Viwanja vya Maonesho Kizimbani, Dole, Mkoa wa Mjini Magharibi. Amesema kampeni hiyo imewezesha mamilioni ya wananchi kupata huduma za msaada wa kisheria bila malipo, huku Serikali ikiendelea kuondoa vikwazo vya upatikanaji wa haki kwa kusogeza huduma karibu zaidi na wananchi. Aidha, Rais Dkt.Mwinyi ameeleza kuwa Awamu ya Kwanza ya Kampeni hiyo iliyotekelezwa kuanzia mwaka 2023 hadi 2026, zaidi ya wananchi milioni nne walinufaika na huduma za msaada wa kisheria katika mikoa 26 ya Tanzania Bara na mikoa mitano ya Zanzibar.  Rais Dkt. Mwinyi ametoa wito kwa taasisi na wadau wote katika sekta ya utoaji haki kuimarisha ushirikiano ili Awamu ya Pili ya kampeni hiyo iwafikie wananchi wengi zaidi, hususan walioko maeneo ya pembezoni na makundi yenye mahitaji maalumu. Halikadhalika, amesema kampeni hiyo inaunga mkono utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050 na Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2025 hadi 2030, zinazoweka kipaumbele katika kujenga mfumo imara wa haki, utawala bora, amani, usalama na utulivu wa Taifa. #ikuluzanzibar
RAIS DKT. MWINYI: SERIKALI KUENDELEA KUIMARISHA HUDUMA ZA MSAADA WA KISHERIA KWA WANANCHI Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kuimarisha huduma za msaada wa kisheria ili kuhakikisha wananchi wanapata haki kwa wakati, kwa usawa na kwa ufanisi. Rais Dkt. Mwinyi ameyasema hayo leo, tarehe 20 Juni 2026, kwa niaba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, wakati wa uzinduzi wa Awamu ya Pili ya Kampeni ya Kitaifa ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia, uliofanyika katika Viwanja vya Maonesho Kizimbani, Dole, Mkoa wa Mjini Magharibi. Amesema kampeni hiyo imewezesha mamilioni ya wananchi kupata huduma za msaada wa kisheria bila malipo, huku Serikali ikiendelea kuondoa vikwazo vya upatikanaji wa haki kwa kusogeza huduma karibu zaidi na wananchi. Aidha, Rais Dkt.Mwinyi ameeleza kuwa Awamu ya Kwanza ya Kampeni hiyo iliyotekelezwa kuanzia mwaka 2023 hadi 2026, zaidi ya wananchi milioni nne walinufaika na huduma za msaada wa kisheria katika mikoa 26 ya Tanzania Bara na mikoa mitano ya Zanzibar. Rais Dkt. Mwinyi ametoa wito kwa taasisi na wadau wote katika sekta ya utoaji haki kuimarisha ushirikiano ili Awamu ya Pili ya kampeni hiyo iwafikie wananchi wengi zaidi, hususan walioko maeneo ya pembezoni na makundi yenye mahitaji maalumu. Halikadhalika, amesema kampeni hiyo inaunga mkono utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050 na Ilani ya Chama Cha Mapinduzi ya mwaka 2025 hadi 2030, zinazoweka kipaumbele katika kujenga mfumo imara wa haki, utawala bora, amani, usalama na utulivu wa Taifa. #ikuluzanzibar

About