@raj_singo: Video kamili ipo YouTube Channel yetu ya Singo Media nenda ukaitazame yote ujifunze zaidi inshaa'Allah. #viral #creatorsearchinsight #tanzaniantiktok🇹🇿 #trending #reels

Singo Media
Singo Media
Open In TikTok:
Region: TZ
Saturday 30 May 2026 12:05:17 GMT
122733
5116
79
300

Music

Download

Comments

ahmedmzee1
ahmedmzee1 :
Dhahabu haishuki thamani hata ikichafuliwa
2026-07-15 04:11:58
39
allysalum35
Ally wandevu :
huyu agekua shekh mkuu tz
2026-07-16 07:57:58
10
flawlessl2012gmail.com
Dizzo :
huyu atakua kiongozi wa kislamu taifa siku sio nyingi tunzeni comment yangu waislamu
2026-07-16 12:39:43
6
davidsebastian2025
..... :
huyu sheikh ananifanya me kuufatilia uislam na kusikilizq mambo mengi kuhus uislamu
2026-07-15 12:01:16
34
mad_hadhrami
rITZrOTZ ♊ :
watoto wa magomeni ķesi zao hua wanakupa mda kwanza, halaf tunaanza fungua ma file,. tupe ma file sheikh wetu 😊
2026-07-16 16:31:41
1
drnjiku
🧿🧘🏽Dr Njiku🧘🏽🧿 :
Hii Ndio dhahabu yetu walidi
2026-07-15 17:36:36
14
goldenboytzjr
GoldenBoytzjr :
huyo shekhe wamaana kabisa 😢
2026-07-15 10:33:13
14
chatu889
msema kweli :
au supika
2026-07-15 23:44:41
1
thereal_mtangojr
ᵀʰᵉʳᵉᵃˡ_ᴹᵗᵃⁿᵍᵒ ᴶʳ🦨 :
shekhe wa taifa sio mkoaa
2026-07-15 19:55:40
8
george.mushi13
George Mushi :
jamaaa anaandaliwa kwa nafasi kubwa na mwenyezi Mungu
2026-07-16 14:31:20
1
msingwa.jogging8
Ghost General :
bonge moja shekh na huyo anafaaa kuwa mufti kabisaaa
2026-07-15 18:50:30
7
user83082579796328
milaj :
mungu atamfanyia wepes
2026-07-16 06:59:34
1
fundukin7
Fundukin :
ww mungo, ulisema mwanafunzi ni bora aside darsa ila so kukosa maulidi
2026-05-30 19:17:09
5
measredmi
Meas redmi :
kwaiy tukaswali kanisani
2026-07-16 00:50:29
0
frank.mcb
frank.mcb :
Sheikh bora kuwah kutokea tz
2026-07-15 16:31:48
2
doct474
Doctor Abdallah :
Haijalishi tunakupenda au atukupendi Ila BAKWATA wamekosea Sana kufanya maamuzi ambayo sio sahihi kwenye dini ya Allah...kwa wakati kama huu nilitaraji busara itumike na Allah alivyo tufundisha katika vitabu yake na mitume yake...kweli au si kweli kutoka na kesi ilivyo lakini sio sahihi kumtoa kwenye madalaka. Kwasababu inaonesha dhahili wapo mashekh walikua wanasubilia ateleze ili wao wapate nafasi .... Hivi sio Allah na mitume yake ilivyo fundisha....Tulitaraji hekima na busara zitumike kwanza kabla ya kumuondoa kwenye madalaka
2026-07-15 13:04:22
4
user4661157935661
Fredoo :
Ila Tanzania😂😂😂😂😂
2026-07-15 12:16:46
1
lucymlelwa192
Lucy Mlelwa :
namuelewa kuliko ninavyo jielewa
2026-07-15 11:13:57
4
mussabarakati729
Barakat mussa :
Allah akulinde
2026-05-31 11:50:00
5
rayshkeykeyraa
rayshkeykeyraa :
sadaqa
2026-05-31 11:38:59
2
jumaiddi8910
juma :
kwe kabisa
2026-05-30 13:50:12
3
nasirsaid535
NASIR YAHYA RICKADY :
sadaka
2026-07-15 13:26:25
1
katerelomkuyati
Katerelo Mkuyati :
INNALILLAHI WAINNA ILAYHI RAJIUUN
2026-07-11 18:38:23
1
user4388542511933
Abiyadhi jr :
fact
2026-07-16 17:52:56
0
fatuma_jabibi_36
it's..jabibi..008 :
2026-07-15 15:04:26
0
To see more videos from user @raj_singo, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About