@msumbanews: Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka akiimba na Kwanya ya Kurasini wakati wa kuhitimisha Mkutano wa Njombe Net Event jana Mei 30, 2026 uliofanyika mkoani humo kwa siku 21 mfululizo katika Kanisa la Waadventista Wasabato mtaa wa Chaugingi.
mbona kila nyimbo anaijua ni msabato au but congratulations RC mtaka jah bless u
2026-05-31 18:44:07
20
Joyzeph :
Nataman kuwepo
2026-05-31 19:18:29
5
Kadoshi :
RC. Mtaka ni kiongozi wa kuigwa. Kwanza ana utu, anajiheshimu, mnyenyekevu, ni mtu kunyooka hataki kupinda Linda, ana hofu ya Mungu, na mtu mwenye huruma. Kiufupi, viongozi wote waliotoka katika Industrial ya Polisi huwa ni viongozi wazuri sana. RC. Mtaka alikuwa afisa wa Polisi, akaacha kazi ya Polisi akaingia katika Siasa. Hata alipokuwa Polisi alikuwa mtu mwema sana wa kupenda kuelekeza pale inapobidi. Hongera sana Mh. RC. Mtaka.
2026-05-31 20:12:23
34
Emma Tz :
Hakika tutamisi sana vipindi vizuri tulivyo kua tukivifatilia kutoka njombe; Net Event Njombe Tumaini Lenye Baraka Hakika ni hisitori kwa wadventista
2026-05-31 21:57:21
11
Mabati Super (wanhao) :
Hakika tumebarikiwa mno na NJOMBE NET EVENT 2026 Sasa tunaingoja MWANZA NET EVENT 2027
2026-06-01 11:07:28
5
Rachel Mbwambo :
RC msabato barikiwa sana
2026-06-01 05:56:20
6
Sharon lomon :
good job
2026-06-01 13:40:12
2
Costancia Mmbando :
Mungu akupe hekima zaidi
wewe ni kiongozi bora sana🙏🙏🙏
2026-05-31 17:38:37
10
Mwesiga Ruttakyamirwa :
kiongozi wangu bora wa muda wote
2026-05-31 19:29:58
9
Samson Humbe :
Antoni mtaka, mkuu wa mkoa pekee kwasasa ninayemuelewa zaidi. Mungu akufikishe mbali sana
2026-05-31 19:45:08
8
smile_girl💋 :
Njombe tumebarikiwa kiongozi Bora sana Asante Mungu
2026-06-01 17:01:07
7
user6531171319517 :
True defination of a good leader
Mungu akuinue zaidi RC mtaka
2026-05-31 17:41:15
6
Kux de max :
Hongera sana Mtaka kumbe ww ni familia kbs
2026-06-01 08:35:21
7
Official cpt..@🇹🇿 :
Amen
2026-06-01 18:52:25
1
135729468 :
Mtaka ni bonge la kiongoz,Mungu ambariki sana
2026-06-01 07:27:15
6
wachikowet og :
Barikiwa Sana Mungu awe pamoja Nas sote tunaowaangalia lakin pia na wale wote wahitaji
2026-06-01 07:27:06
5
brains81# :
nime barikiwa sana .@👏 njombe net event
2026-06-01 08:07:54
5
deborah :
Amen amen 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
2026-06-01 18:10:16
2
Monica Chacha :
hongerasana
2026-06-01 10:08:14
2
sb princess :
Ameeen
2026-06-01 08:57:56
2
Teddy Sasuma :
barikiwa
2026-06-01 07:52:09
2
Real Stranger01 :
Congratulations 💪🙏
2026-06-01 04:30:38
2
marry :
Hakika Mungu atukuzwe milele zote
2026-06-01 06:12:16
4
Peresia :
mtaka mungu akubariki una mengi baba yangu🙏🙏🙏
2026-06-01 08:27:50
3
To see more videos from user @msumbanews, please go to the Tikwm
homepage.