shekh mimi sina cha kusema nasubili hukumu ya mwenyezi mungu inshaallah
2026-06-01 16:59:38
207
shelyD :
jamani mbna waislam mnapenda kuongea ukweli Hadi nasikia kulia na yenye tunapitia
2026-06-02 14:12:29
71
$h@msi@ :
Allah atupe amani ktk ndoa zetu 🙏🙏🙏🙏🙏
2026-06-01 12:19:59
69
Zay Fashion :
Mie vipigo nilivyopitia kwenye ndoa nna mwaka wa tatu huu natibiwa muhimbili lakini insha llah☝️😭😭😭🤲🏻🤲🏻
2026-06-03 19:23:41
39
mimahsall :
allha ametuumba kwaajili ya mitihani, hatuna amani kila siku majuto ya maamuzi yetu. allha atupe kheri ila maisha ya ndoa hayana fea. ni maumivu na mishituko ya moyo. ohh alhamdullah.
2026-06-02 12:19:08
17
zena Isacky :
nimelia sana kwa mateso ninayopitia hakika wakat wa mungu upo mungu ata hukumu hakuna kisicho na mwisho🙏🙏
2026-06-02 09:20:20
26
mbuche :
inshallah naomba mume bora atanipenda kwa moyo wake wote
2026-06-03 11:51:25
12
bellan_07 :
mm nimelia sana kwa mateso ninayopitia hakika wakat wa mungu upo mungu ata hukumu hakuna kisicho na mwisho
2026-06-01 13:51:07
19
ladybug 🐝🐞 :
Mungu atatulipia inshalllah na yote magumu unayopitia sasa kwasabab ya ndoa tulizo zipnda
2026-06-14 20:02:35
6
Muliro :
sheikh ni ukweli kabisa wanawake tuko shida sana kwa mayumba zetu mwenyezi mungu atupe nguvu inshallah
2026-06-01 17:31:57
11
lavi cate lavi :
mmi yote nimeachia mungu atamlipa machozi yote nimelia usiku na mchana 😭😭😭😭😭😭😭😭
2026-06-03 09:42:11
11
Mrs manjole :
mimi apa nafnya kila kitu kwa wakati sahihi kabisaaa kila jambo lina mwishooo inshallah
2026-06-13 21:04:49
7
Nazreen Majeed :
mi nimemuachia mungu atanilipia
2026-06-01 20:49:41
11
Munine :
sijui ata nimelia nini Mungu akupe umri mrefu shekhe🙏🙏🙏🙏
2026-06-02 18:37:46
8
Mwaka Athman :
🥰🥰🥰 Allah ndie Hakim wa yote shukran ustadh
2026-06-02 09:28:32
8
Munaa Ahamed :
niliyapitia but Alhamdulillah nilikuwa naongea subra ss ametulia Alhamdulillah
2026-06-01 12:24:14
9
mere de moi❤ :
niliumia na sasa na subir wakati wa mungu mi sahihi
2026-06-01 16:55:14
7
Ramuziy kalu :
mimi nimelia hadi bas mola ndio hakimu 😭😭😭😭😭
2026-06-01 13:18:36
9
Sumeiya Omar :
kweli mungu akuweke shekhee 🥺🥺🥺😫
2026-06-01 15:42:18
7
biasha juma1990 :
kweli kabisa umeugusa moyo wangu
2026-06-01 10:25:17
5
neey :
niombee namie mwenyezi anisaidie napitia wakati mungu san
2026-07-21 19:56:53
1
Mrs ♥️♥️🌹jy :
mungu amuongoze mume wangu katika njia ilio sahiii inshallah 🤲🤲
2026-07-06 20:21:24
4
mama boys :
Allah mungu tupe nguvu ya kulea watoto wetu
2026-06-20 17:36:50
3
To see more videos from user @gudgudtz, please go to the Tikwm
homepage.