@drcharleskitima1: Haya mambo htupaswi kuyasahau tunapojadili watu kujitawala. Yeyote mwenye nia ya kutawala anatakiwa apitie kwenye mchakato huru na wa haki wa kuridhiwa na wananchi.
Enzi ya Magufuli walikuwa kimya kimya Pwezaa hawaaa !
2026-06-06 16:44:49
4
shaky :
mfano Rwanda,tazama congo,Nigeria Sudan, ww unatakiwa kua daraja la kuwaunganisha watu wote bila kuchagua ni kiongozi wa dining gani au chama gan
2026-07-17 18:27:58
0
Mr dillo the don💼🌎 :
Elimu elimu elimu👏
2026-07-16 17:40:58
10
Britain gold :
akili nyingi sana hiziii CCM mpo?
2026-07-16 07:53:26
6
Kili Tanzanite Safaris DMC :
Hawataki Watz wajue hili. Asante Father 👏.
2026-06-01 11:01:40
35
Chanzo Tumbo :
hatutaki democrasia
2026-06-01 20:06:59
10
Lily's 💎💎 :
Pr. Kitima ni mmoja tu Tz🥰🥰
2026-06-01 17:24:59
17
Lizy Shirima🦋🦋 :
Mungu akutunze daima father
2026-06-01 11:33:31
44
Joseph chengula :
2026-06-01 19:01:41
14
Dafrosa Michael Madicher :
Mungu akutunze baba.Maadui wasipate nafasi kwako.
2026-06-01 17:19:32
24
Roby :
2026-06-01 15:23:58
12
Francsi Damas :
🥰🥰🥰PhD baba paroko tupo pamoja
2026-06-01 18:13:05
14
fransisconkuyumba :
Hongera sana father KITIMA
2026-06-01 15:44:30
7
#Roida @Mamaa :
asante mtaalamu wa yesu
2026-06-01 16:24:38
9
Hyson kabimbi :
nchi inawatu wenye miakil ming sana
2026-06-01 18:12:10
8
richard charles :
mungu akupe nguvu zaid ya kupambania taifa return, tzn
2026-06-01 14:16:48
8
Allen Simon kandolo :
Ubarikiwe baba mchungaji
2026-06-02 08:00:40
5
marcohaule779 :
You are very Genius Padre. we thanks for your message
2026-07-16 16:04:40
20
user7907421881251 :
ukovizuri baba
2026-07-16 20:57:58
1
abubakarimuhando :
hayo yote wanayafahamu shida wameamua kutufanya miradi yao tu
2026-07-17 08:41:06
4
shaky :
ww ndo umepewa dhamana ya kuachunga wana wapotevu lakin apa unajenga misimamo mikali ambayo leo yanaonekana ayana madhara but siku utakapo gundua kwamba umekosea muda utakua umekutupa mkono
2026-07-17 18:25:28
0
Enock Makoga :
mwenyezi mungu wa mbinguni mlinde kiongozi huyu
2026-06-24 10:10:04
2
Hi boy2016💦 :
free national 🇲🇼🇲🇼🇲🇼
2026-07-16 10:25:28
2
mark downtz :
bora ufalme
2026-07-16 12:02:43
2
To see more videos from user @drcharleskitima1, please go to the Tikwm
homepage.