@healthyfity1: Unatokwa na hivi vipunje kooni mara kwa mara? Je, umeanza kuona au kuhisi uvimbe upande wa ndani au hata nje ya koo? ⚠️ Hali hii inaweza kuashiria kuwa tatizo linaendelea kuathiri koo na tishu zinazolizunguka. Usipuuzie dalili kama: ✅ Vipunje vyeupe au vya njano kutoka kooni ✅ Harufu mbaya ya mdomo isiyoisha ✅ Kuhisi kuna kitu kimekwama kooni ✅ Koo kuuma au kuwasha mara kwa mara ✅ Kuvimba kwa tonsils au eneo la koo ✅ Ugumu wa kumeza 📩 Kama unakabiliwa na dalili hizi, wasiliana na healthyfit clinic kwa ushaur na usaidizi zaid.. #sorethroat #tonsilstones