@health_farm_tz: Daktari Bingwa wa Magonjwa ya Moyo kutoka Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Hospitali ya Dar Group Samueli Rweyemamu amezungumzia athari wanazopata wagonjwa wa shinikizo la juu la damu pale ambapo hawazingatii matumizi sahihi ya chumvi, Amesema Kumekuwa na elimu nyingi sana mtaani kuhusu matumizi ya chumvi Hali inayochangia wagonjwa wengi wa shinikizo la juu la Damu Kutotumia chumvi kiusahihi. Hii inadhihirisha wazi kuwa elimu sahihi ya matumizi ya chumvi inahitajika! Unamtazamo gani? ELIMIKA, HAMASIKA, CHUKUA HATUA KABLA MWILI HAUJACHOKA! #healthfarmtz #presha #afya #tiktokviral

health_farm_tz
health_farm_tz
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 01 June 2026 13:33:21 GMT
31386
497
24
291

Music

Download

Comments

user8733124053040
Sun-J :
Duuuuuh vita bado mbichi aiseeh
2026-06-02 12:53:55
7
magdalenamaulilo
Magdalena maulilo :
Asante
2026-06-02 13:14:58
1
macklin.moyo
macklin moyo :
aiseee
2026-06-02 09:06:48
2
user7342463980758
Lenics :
Asante
2026-06-04 01:57:18
0
gwerino.nyomolero
Gwerino Nyomolero :
nikuomba Mungu na kubalansuli mlo wako tu na kujiamini kama watu wengine
2026-06-03 04:58:42
1
tayolr57
my💕💕🌹 :
kaz kweli kweli
2026-06-08 14:54:13
0
ashuramkaning
Ashura Mkanin'ga :
sisi wenye pressure ni kuomba tu Mungu 😂😂
2026-06-02 18:11:24
5
ngukuluvic
ukerewe boy :
unashindwa ushike lipi
2026-06-03 03:36:46
3
mamiemommy
mamiemommy :
personal observation, kuna wakati nilikua nachoka na kuishiwa nguvu sana, mapigo yapo chini na ninachoka kama mtu mwenye kuishiwa sugar..Nilisikia tu sauti tumia chumvi ya mawe weka kwenye maji, guyz ndani ya 45 minutes, nikaanza kuona afadhali..and recently sukar ilikua inasoma 4, nikawa nachokaaa, basi napewa glucose, chai nini...but sikai vzr sana .nikaikumbuka chumvi, nikawaambia nipeni chumvi ya kawaida nilikua kazini .so nikachanganya chumvi na ile glucose..baada ya kam 40 minutes nikawa sawa .huo ndio ushuhuda wangu..ndio nimejua dr anasema ukweli...but jifunze kuujua mwili wako mara unapoona hali ya mabadiliko fulani fulani zaidi tumia dawa kwa usahihi
2026-06-03 14:06:21
4
blessed.flo
Flo :
Hadi sasa madaktari wamefeli.
2026-06-03 19:22:08
0
nwtrends2023
刘思思 :
In a week tunaweza kupata wagonjwa wawil watatu wa hyponatremia . Moderatw / severe na sijui wanaambiwa na nani unakuta mtu hatumii kabisa 🥺
2026-06-08 14:58:29
1
happyeli96
happy-eli :
Yesu tusaidie na kutuponya
2026-06-02 19:24:54
0
user7319126820929
user7319126820929 :
daaa yani nachanganyikiwa jamani
2026-06-11 17:44:26
0
laurencemollel
laurencemollel :
sasa mnatuchanganya
2026-06-02 17:00:38
0
sirbugo1
Sir Bugo :
🥰🥰🥰
2026-06-02 06:54:02
1
To see more videos from user @health_farm_tz, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

عبد الباسط الساروت وُلد عام 1992 في حي البياضة بمدينة حمص، ونشأ في عائلة كبيرة. كان لاعب كرة قدم موهوبًا وحارس مرمى لنادي نادي الكرامة ومنتخب الشباب السوري، وكان يُنظر إليه كأحد الحراس الواعدين قبل اندلاع الأحداث في سوريا  مع بداية الاحتجاجات عام 2011، أصبح من أبرز الوجوه في المظاهرات بمدينة حمص. اشتهر بصوته القوي وأناشيده وهتافاته التي كانت تُردد في المظاهرات، ولذلك لُقّب بـ
عبد الباسط الساروت وُلد عام 1992 في حي البياضة بمدينة حمص، ونشأ في عائلة كبيرة. كان لاعب كرة قدم موهوبًا وحارس مرمى لنادي نادي الكرامة ومنتخب الشباب السوري، وكان يُنظر إليه كأحد الحراس الواعدين قبل اندلاع الأحداث في سوريا مع بداية الاحتجاجات عام 2011، أصبح من أبرز الوجوه في المظاهرات بمدينة حمص. اشتهر بصوته القوي وأناشيده وهتافاته التي كانت تُردد في المظاهرات، ولذلك لُقّب بـ"بلبل الثورة" و"حارس الثورة" خلال حصار حمص وما تبعه من تصاعد الصراع، فقد عددًا من أفراد عائلته، بينهم والده وعدة إخوة وأقارب. ومع تطور الأحداث وانتقال الصراع إلى العمل المسلح، انضم إلى فصائل معارضة للنظام السوري وقاتل في عدة جبهات. بعد خروجه من حمص، انتقل إلى مناطق المعارضة في شمال سوريا، واستمر في نشاطه العسكري والإعلامي. تعرّض لعدة إصابات ومحاولات اغتيال خلال سنوات الحرب. في يونيو/حزيران 2019 أُصيب خلال المعارك في ريف حماة الشمالي، ثم نُقل للعلاج، لكنه توفي متأثرًا بجراحه عن عمر 27 عامًا. شُيّع في جنازة كبيرة حضرها آلاف الأشخاص. يبقى الساروت شخصية مثيرة للاهتمام والجدل في آنٍ واحد؛ فالكثير من السوريين يرونه رمزًا للثورة والتضحية، بينما تختلف تقييمات آخرين لبعض مواقفه وخياراته خلال سنوات الحرب #الساروت #سورية #عبد_الباسط_الساروت #ذكرة_استشهاد_الساروت

About