@dree_football: Kwa nini hii haikuwa penalty...? #arsenal #uefa #michezo #mpira #wasafisportsarena

dree_football
dree_football
Open In TikTok:
Region: TZ
Tuesday 02 June 2026 11:12:41 GMT
3708
115
38
0

Music

Download

Comments

blacktiger9_tz
jthan_now :
kuna watu huwa wajikuta wameugusa kwenye situation ya kuwa katikati ya watu wengi lakin ukiwa pekeyako si rahisi kama ukiwa umetulia ni Sawa na wale wanaocheza fouls kwenye box sio wote huwa wanakusudia lakin tuta linawekwa kah hizi Sheria nazo
2026-06-04 03:55:54
1
aboudmanyema
Aem@ ltd :
sheria namba ngapi hizo za FIFA
2026-06-02 21:53:27
1
jquery.php
$$$ :
we jamaa big up sana unajua
2026-06-03 11:53:14
1
user2252101598679
Abdul Kareem Omary :
nimesoma comments kumbe wote hamjui sheria 17 za soccer ni hivi ... mpira ukidunda kisha uende kugusa mkono ndani ya box sio penalty na mpira unaoshuka kutoka juu ukigusa mkono ndani ya box sio penalty Mpira unao unaohesanika penalty ni ule wa wakupigwa kimo cha mtu kisha kumkuta mtu katanua mikono (mwili)ndani ya box
2026-06-04 19:50:43
0
maro0104
maro0104 :
mpira ulianza kugonga kifua
2026-06-04 16:25:54
1
sports_spirt
Sports Spirt :
vip kuhusu Ile ya bayan na psg kama uliiona?
2026-06-05 14:50:08
0
iamfinnesboe
whsfinnest :
SOMA RULES
2026-06-04 07:32:40
0
muddynation
Muddy Nation :
wote tunajua hii ingekuwa imetokea upande wa PSG....Arsenal wangepewa Penati🔊🔊🔊🔊
2026-06-05 15:24:45
0
johakim9
johakim9 :
kisicho ridhki hakiliki brother 😂 PSG hiyo ni ridhki Yao tu
2026-06-04 11:41:39
0
moudric.carron77
Carron👊 :
Sasa kumbe psg walikuwa wanategemea watapata mseleleko
2026-06-04 14:05:50
0
incthebest88
Withs :
Wale wanaruka header mikono juu tena mpira unawapita unarud bado yuko juuu na kanyanyua mkono ukimgisa mikono wanafunika kvp kwa Saka wasifunike??
2026-06-04 17:10:52
0
muganda_845
#DMS :
Ili iwe penalty lazim mpora uwe umepigwa na opponent player na mtu kaweka mkono as an obstacle sas mpira alipiga saka na ivo penalty hawawezi pea aseno sheria iko ivo
2026-06-03 20:33:49
0
user17228030556226
Judo kid :
sahihi
2026-06-03 14:15:02
0
blacktiger9_tz
jthan_now :
hiyo sababu ya pili naweza kuielewa lakini hiyo ya kugusa Kwa mkonon Kwa makusudi hapana hivi kweli kuna mtu anaweza kutoa mpira Kwa makusudi akiwa pekeyake kweli me naona hyo Sheria wangesema akiugusa akiwa pekeyake ila Kwa makusudi hapana
2026-06-04 03:53:25
1
jquery.php
$$$ :
Mi kwa mtazamo wangu, na maoni yangu, nadhani inabidi niweke sawa kwamba kwa maneno machache sana niseme mimi kama mm naweza kuwa na mtazamo ambao Nitapenda kusema kuwa kwa maoni yangu naona ni vema kueleza kuwa inabidi sasa niweke sawa maelezo yangu kuwa hili suala ni ambalo kwa maoni yangu nana kuwa maneno ambayo naweza kueleza kwa ufundi sana na kutokana na mawazo yangu. Sasa nimalizie kwa kusema kuwa naona mawazo yangu ambayo yanaeleza kuwa mtazamo ambao mimi binafsi ningetamani kusema kuwa inabidi maelezo haya ambayo nayatoa ni kwamba, kwa maneno machache nieleze kuwa naweka wazi ya kwamba maoni yangu na mawazo yangu naeleza kuwa mtazamo huu ni kueleza kuwa sina la maana ndugu zangu...MKANIFOLLOW 😭🙏🙏AU NIENDE MOMBASA
2026-06-03 11:52:59
0
To see more videos from user @dree_football, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About