Shekhe jitahidi kufudisha historiya tunapenda sana inatutoa usingizini
2026-08-01 08:02:40
0
n.r.h boy :
hio ni kweli ilikuwa ni zanzibar empire
2026-06-11 18:06:48
1
Mustafa Rajabu :
mashaallah shekh wetu
2026-06-29 05:36:37
2
ABOU MUDRICK@ :
history tamu sana
2026-07-07 09:22:32
2
K.F.PU(haki nuru ya ukombozi) :
♡♡♡♡♡♡♡♡♡♡
2026-07-24 12:32:50
0
hajjajji2 :
Shukurani
2026-06-06 20:29:43
1
Hoty_hans☑️ :
Mashaallah 🤝
2026-06-03 11:51:58
2
Chambega Abdallah :
mashaallah
2026-06-29 10:32:53
0
MASJID MAAMUR CHALINZE :
maasha Allah
2026-06-07 19:43:43
1
Abuu Hannah :
kilwa ndio ilikuwa dola
2026-06-17 11:54:51
1
Omary Ally Matimbwa :
Asante sheikh
2026-06-26 08:30:41
0
Mussa Mohamed :
Huo ndio ukweli. Hata uhuru na amani ya nchi hii imepiganiwa na Waislam. Vyama vya TAA na TANU ambavyo vilimtuma Nyerere kufuatilia uhuru UNO vyote vilikuwa vya wazee wa kiislam. Chief Mkwawa na Kinjekitile Ngwale walikuwa Waislam
2026-07-14 12:31:47
1
Moh :
Allah akuhifadhi abulfadhil
2026-07-10 12:34:11
0
athumanimiraji98 :
Sheikh Abul Fadhil...Allah amuhifadhi.
2026-06-09 12:02:06
5
Brother Shiri🥶 :
biashara y utumwa imefanywa na waislam
2026-07-15 08:08:33
0
Hafotdesign :
kassim mafuta ya kupikia
2026-07-28 22:12:29
0
Abuu Ridhwan :
Allah awahifadhi masheikh zetu wakisalaf
2026-06-16 17:47:39
3
user3439317599713 :
Allah akuhifadhi Sheikh wetu
2026-07-10 14:43:04
0
kibao kikoya :
Maasha Allah! Masheikh wetu mkiongea tunafarijika sana. Msiwaache watu wakajisifia na PHD mchwara ambazo hazijui hata Mungu ni nani wala ubinadam. Wanajisifu kusoma alafu wanapigia magoti na kubusu masanam au kuabudu kwa kuimba na kucheza. Elimu kwao ni kuongoza kufanya ufisadi, migawanyo, matabaka, ubinafsi, wizi na propaganda. Maovu yote waliyonayo hutumia propaganda kuwasingizia wengine (waislam) bila hata haya. Ona Trump na Netanyahu bila haya wanajisifia pamoja na ufisadi na uharibifu wanaoufanya ktk ardhi hii ila wanajiona wako safi, hivyo ndivyo walivyo watu wasiomjua Mungu, hata vitoto vyao vilivyo tz vipo hivyo.