@tevar_demas: jinsi ya kuepuka umaskini kwenye maisha yako. ✍️|| Usisahau kufollow ukurasa huu Facebook: @tevar_demas Instagram: @tevar_demas TikTok: @tevar_demas #successmindset #creatorsearchinsights #Motivation #tiktokviral #joelnanaukamotivationaltalks
huyu anaeongea sio tajiri naomba npewe hi elimu na bakhresa
2026-07-29 07:10:46
1
Siddo818 :
Umasikini ni kutotumia vzr unachokipata? unatujia na tafsiri za kwenye makaratasi. Kuna mtu anapata hela buku 3000 kwa siku, niambie huyu anatumiaje vzr anachokipata
2026-06-04 12:52:13
13
🆂🆃🅰🆅🅾20⚽️🎮🇹🇿 :
hii elimu ya nadharia huwez kuiset kwny maisha yetu halis
2026-07-27 21:26:46
2
Msumal aloyce :
uko sahihi hata mimi nimeiona sana,nahao nio wanaongoza kwa kuwasema wanao budgete pesa zao.
2026-06-03 14:21:31
3
nicklove014 :
huyu ndo mwalim sasa
2026-06-03 10:34:00
9
Upepo Stephano :
mimi Nina 28 yrs ila nataka semina ya walio staafu ili nijue walikosea wapi
2026-06-27 15:43:25
5
Pro-humanity :
hyo laki 5 familia ya wstu 8 unapangaje
2026-06-08 20:55:34
2
Chars Bray :
Broo kama ni budget....ucngekimbilia bungeni ..uendelee na budget yko huko huko..., lkn naamini umeona bajet yko haitoshi umekimbilia bungeni , swala sio budget... huwezi kubajet kwenye hakuna!!!
Huwezi kumlaumu mfanyakazi ...coz mfanyakazi anapangiwa na serikali alipwe kiasi gani haijalishi uchumi uko juu ama umeshuka!!
ukumkuta mfanyakazi wa serikali ni tajiri mchunguze vzr huyo ni mwizi !!
2026-07-30 06:28:55
0
maryamu :
Kbsa
2026-07-05 06:52:42
1
willie :
kama hauna hauna tu lakin sio ishu ya kutumia though kuna point lakin kuna watu wanatumia vbaya ila kwasababu wanavyo vingi hata haiwaathiri kabisa
2026-06-20 10:47:04
2
Frank Ogucha :
very true sir Joel much love from Kenya
2026-07-13 19:26:55
0
kofia za oman :
maskini na bajeti kwel wakuu?
2026-07-18 08:12:13
0
bestsalvatory993 :
suala la kula lipo kama system.., unalipigiaje hesabu?
2026-06-14 19:04:24
0
Kavemba De Last Born :
content kubwa xana muheshimiwa
2026-06-08 20:37:34
2
salum :
Uko sahihi kaka
2026-06-07 10:32:50
1
aminabint bushir :
ushauri wako umenifunua macho
2026-07-23 06:50:20
0
farhya,s grandma :
Asante baba tushachelewa xaxa😭😭
2026-06-08 18:01:04
1
Ibrah.anyimike :
kweli kk
2026-06-03 16:41:07
2
TINAH ELIAS :
Bigap sana
2026-06-18 06:10:49
0
Thomas :
salute 🫡
2026-06-14 21:32:26
0
Gabriel Kimwi :
ok
2026-06-04 17:23:33
2
Victor Burchard :
Nanauka ana akili kubwa sana
2026-06-09 07:12:27
2
Peters Braille Press TZ :
Kwanini hawa wanaotufundisha sisi ambao baadhi yetu wanatuita sisi maskini wanatuomba pesa? nal
2026-07-04 16:23:36
1
HARAO MEDIA :
nguo kwa mwezi au miaka 2🤣🤣🤣
2026-06-17 17:19:53
1
Ayubu Kivuyo115 :
Acha kujifanya hujui level of depency katika jamii za kiafrika
2026-07-12 12:38:30
0
To see more videos from user @tevar_demas, please go to the Tikwm
homepage.