Yaani mi kunishauri niachane na ndoa labda uniue, I will marry once and marry right.
2026-06-04 08:51:24
51
UmmyJM :
@UmmyJM: Kuna mahali nilikua nafanya kazi, kuna mfanyakazi mwenzangu alikua anapitia natatizo mengi kwenye ndoa mume anarudi asubuhi matusi wanawake, sasa kuna binti alikua mdogo kwetu akawa anatuomba ushauri kwamba mwanaume wake anataka kumuoa yule dada akawa anamwambia usiolewe yani nikisikia mtu anayaka kuolewa namuonea huruma ndoa mbaya mimi pale pale nikamjibu mbona hutoki kwa mumeo? Kama ndoa ni mbaya hadi utake mwenzako aolewe mbona wewe hutoki? Nikamwambia yule binti kila mtu ana historia yake usiruhusu historia ya mwenzako ikuzuie kutengeneza yako muweke Mungu mbele ingia kwenye ndoa!! nimeolewa miaka minne now and ndoa ni nzuri tafuteni mwanaume mwenye huruma mambo mengi yatakua mepesi
2026-06-04 07:41:54
44
MAMA TONY COSMETICS 💄🫦 :
Kwa upande wang mm ndoa yang Ina miaka 12 lkn hadi leo nasema ndoa siyo mbaya maisha ya ndoa nikama maisha mengne ambavyo utapitia changamoto kwenye maisha ya kawida pia kinachokuja kuleta shida ni pale unapotaka kuishi kwenye ndoa kama ulivokuwa unaishi mwenyewe lkn pia watu weng hatupendi kulekebishwa pale tunapokesea ndoa so mbaya Ila tu mkubaliane kulekebishana wote wawili na kubebeana mapungufu 🙏
2026-06-04 07:01:03
27
Agnisha Royal Cakes & Blooms :
Kama mbaya wazazi wetu ndo wangekuwa wakwanza kutukatazaaa jmn
2026-06-03 22:07:38
36
Aminah😛😛 :
wanasema mbaya lkn hawaachiki mm ntaolewa ivo ivo acha nikajionee😂😂
2026-06-04 13:58:28
13
Appy💞💦 :
nimepita uku kdg nimepata amani ya moyo😁😂😂
2026-06-03 22:01:24
28
🦁❤️ :
Mm navyo penda ndoa hata niambiwe nini ntaona napigiwa kelele tu 😂😂
2026-06-04 06:18:36
17
@brandnewblessings :
Unaingia TikTok unampenda mtu wako vizuri, unatoka TikTok tyr una pepo la chuki na kujishtukia….unaanza kuishi bila kujiamini kisa tu maneno ya watu….mi najua ndoa njema bado zipo tusali tu
2026-06-04 15:31:46
10
missutuda :
Ndoa nzur zipo hatusemi tu ila tunazo jaman Alhamdulilah ❤️
2026-06-04 11:11:47
9
tc_maggie🤍🦋 :
kwenye wanaume wa peke ako hapooo🙌🙌wapooo tuache mentality za ajabu🙌
2026-06-05 08:34:15
10
Ms.kidoh :
Wanaboa sana me hata siwasikilizi kwakweli sikuhizi kila mtu apambane na yake 😏
2026-06-03 16:10:00
11
🦋 Ms: european parts.tz🦋 :
mimi hata nikiolewa na nikaachika bado nitaendelea kuolewa maana huwa naamin alieniacha sio risk yangu
2026-06-04 14:10:45
7
Am_gui🦋 :
😆😆😆😆wanatak tuchukie wanaume sa sijui wanataka tusagane jmn🤣🤣🤣🤣 em watuache tuenjoy kila mtu hii ni mara yake ya kwanz kuishi duniani tupunguze ujuaji
2026-06-04 05:16:52
6
criol beibs :
ndoa nzuri zipo,wanashauri kwa chuki kwasababu wanamaumivu
2026-06-04 08:52:46
6
Agnisha Royal Cakes & Blooms :
Kila mtu anasema ndoa mbaya adi ukiwa vizur unaanza kutafta mabaya binfs nimeacha kuckiliza yanapotosha
2026-06-03 22:06:23
14
Hery mapesa🩷🌸 :
Kwel kabsa ndoa nzur zipo tena kibao🙏❤️
2026-06-03 21:51:01
6
Pendokhadija :
Hatimae umezungumza nlotamani kuskia 🤗🤗….mtu yake yakifeli anajua wote tunapitia aloyapitia 😀ww omba Mungu akupe ur pair mtu so pair yako unamparamia lazima yakukute kila mtu Ana pair yake ukiparamia ya mwenzio lazima ya kushinde 🤗🤗tunainjoy na hatusemi mana hata tukisema hatutoaminika ila ukipata pair yako Maashaallah 👌👌👌🙏ndoa ni nzuri mnooo mnoo🙏
2026-06-04 04:26:11
6
heis3r1ck :
Naomba nikufollow kabisa, point taken and noted🙏
2026-06-04 20:33:05
0
jacque$2001 :
hazipooooo😅😅😅
2026-06-04 04:21:27
0
_lenaalex :
Yaanie siku hiz wanatutisha achatu 🥺
2026-06-04 15:37:36
1
Be smart always :
😂😂😂wanataka wenzao watoke 😂 ila nasema sitoki ndoa nzuri zipo
2026-06-05 14:51:17
3
Noor❤💫 :
😂😂wadogo zng wa miaka ishirin njoen hap😂😂.....
2026-06-04 08:39:48
2
To see more videos from user @queensilayo2, please go to the Tikwm
homepage.