@mafuru_foundation: Tusiwasahau wazazi wetu, inawezekana changamoto za maisha zinatufanya tusahau kuwatumia chochote kitu, na sipo hapa kumlaumu mtu, bali tunakumbushana, siku Mungu akitukumbuka basi tujitahidi kuwakumbuka wazazi wetu kwa chochote kitu, kuna baraka zimo zimeandaliwa kwa ajili yetu pale pindi tunapowakumbuka wazazi wetu!

Mafuru Foundation
Mafuru Foundation
Open In TikTok:
Region: TZ
Wednesday 03 June 2026 15:01:35 GMT
159915
8597
227
157

Music

Download

Comments

user7745440808013
user7745440808013 :
nashukuru tumezaliwa 3 but mim peke yangu ndio namkumbuka mama yangu
2026-06-04 02:10:09
176
_daisy612
✨️She Is Daisy✨️ :
Ningeandika kitu ila sitaeleweka kirahisi.. anyway wazazi na sisi tuwe na upendo katika malezi yetu kwa watoto 🙏
2026-06-04 13:02:57
63
king.swat768
Manuu Cench 🤑 :
so touchy 😔
2026-06-05 20:45:10
0
juniafuraha
Isabella💕 :
Mungu naomba unipe neema nisimsahau mama yangu mana nampenda sana❤️
2026-06-05 13:07:32
16
dayna.marco
Dayna marco :
tumezaliwa wanne mimi pekee ndye ninae mkumbuka mama kumtumia chochote kitu maisha aya
2026-06-04 05:59:50
30
salingojr3
Eddie🤏🫵 :
da mungu naomba utufanye tuwe na mwisho mwema lakn hasa. tuwatazame wazazi wetu
2026-06-04 15:50:46
10
ruckydodo86
ruckydodo86 :
Jmn tuswasahau wazaz kwa nmn yoyote Ile jmn 😭😭😭💔🙌
2026-06-03 18:51:27
24
joyheart85
🌸🌹joyheart🌺🌸 :
for sure uyu mama kuna mambo anayapitia yanayo muumiza moyoo,mungu nahahid kumtunza mama na baba yangu😭😭
2026-06-04 09:54:22
18
kimally3
Kim Ally :
😭😭😭😭😭😭😭😭Allah azidi kunipa nguvu nizid kumtunza mama angu
2026-06-04 08:19:43
10
house_of_abaya_moshi
Salma_shayo_moshi :
2026-06-04 06:47:36
3
kalul.96
kalul.96 :
God help 🙏 🆙
2026-06-05 18:54:26
0
chama.2242
chama 22 :
nimejikita nalia sn😭
2026-06-04 04:57:10
7
emmanuelinkungwe
Mpichu boy :
Tusiwasahau mama zetu tunapo kuwa mbali nao mungu awatuze mama zetu naazidi kuwaweka...
2026-06-03 21:57:17
15
mnyamawayesu888
Mnyamawayesu :
dah maisha haya 😢jamani
2026-06-04 03:39:47
7
dorry.mkwizu
Dollyn💝 :
pole sana bibi yangu
2026-06-04 05:20:35
7
msafitz_
msafi tz💍 :
Dah 💔
2026-06-04 13:13:35
2
jadrickie
jylne💕 :
So painful jmn ukifanikiw baraka ya kwanz ni wazaz usije wahi msahau mam yakoo eeeh MUNGU nisaidie nipate pesa ili niwatunze vyema wazazi wangu na wote wenye uwitaji
2026-06-03 22:02:50
5
genius_.lolly31
genius_lolly :
I love ue mmaa🥺
2026-06-04 22:20:40
1
aive.abely2
Aive Abely :
dah inaumizaaa
2026-06-03 19:54:01
7
sylviamwasandube
sandu G cosmetics 💄 :
mimi kwenye huu ulezi wangu ntajizingatia sana mimi kusema niwekeze kwa watu ambao Mungu kawaleta dunian kwa kusudi lake sitaki kama kusudi lake ni uchoyo me nije niumie nilivojitoa never
2026-06-04 09:29:49
3
emmie.make.fanny
emmie make fanny :
Nikose mimi Lakin sio mama yangu🥰🥰
2026-06-04 11:40:57
2
pafectpeople5070
FLOWER BOY. 23 :
🥹🥹🥹 mungu amsaidie bibi maisha yana changa moto kubwa
2026-06-04 18:16:00
2
bexytz
Bexley44 :
walai mamangu, nitapambana hadi tone langu la mwisho kuhakikisha unapata kila kitu ulichohitaji kama ulivyopambana mimi nipate Nikiwa mdogo. dah kitu cha thamani nilichonacho ni mama yangu tu. ndiye aliyenilea tangu utoto. nilikuwa mimi na mama tu,, na daima namuombea maisha marefu. MUNGU AWABARIKI WANAWAKE WOTE DUNIANI.. awajalie nguvu Akina mama ambao wanalea watoto wao wenyewe (single mothers)
2026-06-05 08:45:27
3
rossebogoshi
Rosse Bogoshi :
Mungu amtie nguvu jamani
2026-06-04 19:45:46
1
prisca5678
Sisi ndio tuko :
tumezaliwa 6 lkn mie ndo kila kitu kwa mama Asant Mungu
2026-06-04 12:36:59
0
To see more videos from user @mafuru_foundation, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About