@forexkid0: Ukishindwa jambo ,usidhani kwamba watu wote watashindwa ,kumbuka watu tunazidiana uelewa na kama wewe ume shindwa usitake kuwakatisha wenzako tamaa. Unaweza ukawa ulianza miaka ya 70's ila wengine wakaanza 20's na wakafanikiwa kuliko wewe ,so wale wanaojifanya walianza Trading mwanzoni sio ishara ya kufanikiwa kabla ya wengine ,acheni izo mambo acheni vijana wajisake kwa nguvu zote mwisho wa siku mafanikio na riziki anatoa mwenyezi Mungu acheni vijana watie bidiii katika kupambana na umasikini. #Takeitorleaveit. #kakawataifa🇹🇿 #forextrading #forextanzania #financialmarkets
KUTRADE GOLD NI RAHIS KULIKO HATA CURRENCIES 😀😀...kaka nimepitia kwako mwaka Jana January...now Nipo lock in am milking gold......haiikuwa RAHISi ilaa nilipofika nashukuru Mungu..✊✊
2026-06-04 20:56:14
1
To see more videos from user @forexkid0, please go to the Tikwm
homepage.