@farmline.ltd: Rahisisha ufugaji,punguza magonjwa,Epuka hasara,punguza gharama za wafanyakazi shambani,fuga kisasa☑️☑️ Maji safi huwakinga kuku na hatari ya kupata magonjwa tutakuhakikishia maji safi muda wote kwenye banda la kuku wako, kwa kufunga mfumo wa maji wa nipples Kama unavyoonekana kwenye video Njoo ofisini kwetu au tuite shambani kwako tukupe makadirio ya gharama za kuufunga mfumo kwenye banda husika. 📍Tupo Dar Es Salaam Temeke vetenari Kama upo mkoani Tutafika na vifaa na tutakufungia mfumo💥 Kama unahitaji vifaa tu peke yake pia usisite kutupigia Piga au whatsApp 0686940893 #farm #farmline #farmlife #ufugajiwakisasa #vifaavyaufugajinakilimo