@shambashine: Muda mrefu wa kukomaa Tunda hili huchukua miezi mingi zaidi kukomaa mtin ikilinganishwa na aina nyingine. Hali hii hufanya mavuno yake kuchelewa na kuingia sokoni kipindi ambacho aina za kawaida zimekwisha sawa na embe aina ya kent ambayo huchelewa kukomaa na kuingia sokoni yenyewe na kufanya bei kuwa juu zaidi Call :0658019731 Whatsap no :0767019731 SUA Morogoro