@kanikibrown: Watanzania wameaswa kuacha kusikiliza wanaharakati na wanasiasa wanaochochea vurugu na uvunjifu wa amani nchini, kwa kuwa watu hao hawana nia njema kwa Taifa Rai hiyo imeitolewa leo, Alhamisi Juni 04. 2026, Jijini Dar es Salaam na Mwanafalsafa wa Pan-Afrika kutoka Zimbabwe, Dkt. Joshua Maponga wakati wa mkutano na Waandishi wa Habari uliohusu uzinduzi wa makala inayozungumzia Matukio yaliyotokea Nchini kabla na baada ya Oktoba 29.2025 (Siku ya Uchaguzi Mkuu), makala ambayo imeandaliwa na kampuni ya African Spear Head Media Katika maelezo yake, Dkt. Maponga amedai kuwa baadhi ya mashirika yasiyo ya kiserikali (NGO's) yamekuwa yakipokea fedha kutoka mataifa ya nje kwa lengo la kuhamasisha vitendo vinavyokwenda kinyume na maadili na amani ya nchi, ikiwemo vurugu na migawanyiko kati ya wananchi na viongozi wao, ambapo amesema hali hiyo ni hatari kwa ustawi na usalama wa Taifa, hivyo kushauri serikali kuchukua hatua za kufanya uhakiki wa mashirika hayo ili kubaini vyanzo vya fedha wanazopata na namna zinavyotumika Aidha, amedai kuwa watu wanaochochea vurugu mara nyingi huishi nje ya nchi katika mazingira mazuri, huku wananchi wanaoshiriki machafuko hayo wakikabiliwa na madhara makubwa ikiwemo kupoteza maisha, mali, uharibifu wa makazi yao nk Sambamba na hilo ametoa wito kwa Waandishi wa Habari kuendelea kutoa elimu kwa umma kuhusu athari za maandamano yasiyo ya amani na vurugu, akisisitiza kuwa matukio kama hayo yanaweza kuathiri maendeleo na rasilimali za Taifa #WEWENIFAMILIA Ripota wa Habari za Mikoani ✍ @kaniki_brown “Endelea kufuatilia #Ripotawahabarizamikoani kwa taarifa sahihi na za uhakika. KWA MATANGAZO YA BIASHARA NA HABARI Follow kwa updates zaidi. Kuwasiliana 📞 0622 732 287 #kanikibrown”
Kaniki Brown
Region: TZ
Thursday 04 June 2026 21:43:09 GMT
Music
Download
Comments
Abraj.official :
Huu ndio ukweli uliojificha..na umesemwa leo...Respect to this man
2026-06-05 07:13:11
13
Mr.Chimps :
Fact and true kabisaaa 👏🏽👏🏽👏🏽👏🏽
2026-06-05 04:53:04
13
balo :
well said comred
2026-06-05 08:14:01
2
G70 :
live longer our brother.
2026-06-05 08:19:25
1
Tibu :
well spoken 👏
2026-06-05 07:31:42
1
mariam sappa :
Well said baba 🥰🥰
2026-06-05 05:23:28
4
abdu..locco :
wajinga watamkumbuka sana huyu na maneno yake
2026-06-05 05:34:38
7
Muu Simba zee :
brother is raising his facts and not his voice.
2026-06-05 06:26:36
4
ushanta 26 :
love from Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
2026-06-05 05:32:47
4
Humutu :
Ukweli mtupu
2026-06-05 06:16:23
3
Amoo☆Brown :
What is He Saying !?!??
2026-06-05 06:11:48
1
the stones :
thanks brother
2026-06-05 05:05:21
3
user9698202077555 :
100% correct 🇹🇿🇹🇿
2026-06-05 05:12:22
4
user8302317767574 :
exactly
2026-06-05 04:50:00
2
Mwinyi Foum :
my Tanzania😳😢
2026-06-05 06:17:14
2
Towo manginimmoho :
mmh
2026-06-05 05:09:23
3
user9097684609743 :
absolutely true waambie babaa
2026-06-05 07:48:48
0
legraah :
very truee💯
2026-06-05 07:29:45
0
muddyNtengu :
ukweli ndio huo
2026-06-05 05:37:54
2
mtufudenge1 :
True
2026-06-05 03:59:56
2
DUH SURA IMEPARARA😂😳♟💰💸 :
[Sticker]
2026-06-05 05:19:26
1
maus :
true
2026-06-05 04:00:32
1
user572253396116 :
Kweli 💯💯💯💯💯💯
2026-06-05 08:22:19
0
mausay :
fact
2026-06-05 08:16:23
0
zenachilamula2 :
Correctly. I concur with u
2026-06-05 06:27:49
0
To see more videos from user @kanikibrown, please go to the Tikwm
homepage.