@veriafya: Bingwa wa Uzazi na Magonjwa ya Wanawake katika Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dkt. Nathanael Mtinangi anashauri Wanawake wenye Changamoto ya kupata ujauzito (Wagumba) wasijisafishe moja kwa moja baada ya kushiriki tendo la ndoa ili kutoa nafasi nzuri kwa Mbegu za kiume kufikia yai kwa namba kubwa. Katika mahojiano haya yaliyofanyika kupitia Mwananchi Digital, Dkt. Mtinangi anabainisha kuwa njia hii inaweza kuongeza uwezekano kwa Wanawake hawa kupata Ujauzito

Veriafya
Veriafya
Open In TikTok:
Region: US
Friday 05 June 2026 06:40:48 GMT
34155
559
12
220

Music

Download

Comments

mcutehbet
mcutehney :
Mungu ni wewe tuu utendae fanya kwa wanawake wote wenye shida ya watoto🙏
2026-06-06 19:32:40
5
user8210872741151
user8210872741151 :
kumbe
2026-06-05 07:39:57
1
user8390370004006careen
Careen ally :
kumbe
2026-06-06 13:22:05
0
user6903639410787
user6903639410787 :
mie nilikua nalala nazo nakushinda nazo
2026-06-05 07:49:59
2
augustino.sarwatt
Augustino Sarwatt :
dct naomb namb zk tuwasiliane
2026-06-05 08:05:19
1
elina80804
Rechol vikoi🔥 :
Kumbe😳
2026-06-05 14:33:34
0
mc.bonge.mapilau
Mc bonge mapilau :
Mungu akanikumbuke sasa hapa nimepata jibu basi kuanzia leo naanza hili zoezi naomba namba ya huuyu dokta
2026-06-06 20:10:00
0
mwitamohamed
mwita Nyanduru🇹🇿🇰🇪 :
ni kweli
2026-06-05 08:13:25
0
love.william8
Love William :
😳😳😳
2026-06-05 08:44:01
0
To see more videos from user @veriafya, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About