hapa ni mzigo wenye ukubwa wowote ama mizigo midogo midogo?
2026-06-05 08:00:08
7
Dorice :
upo Eneo gani
2026-06-06 08:44:11
1
micford4960 :
Name of this song
2026-06-06 15:08:03
0
chumadede :
korogwe,muheza,handeni 7000,alafu moshi,arusha 5000 ikoje hii
2026-06-06 07:44:44
2
Leoroyal_home :
mkiweka ivyo sidhani kama mmesaidia au mnataka kutupa tabu2 kuwaelekeza wateja.
wekeni na namba zenu za simu wawe wanawapigia kuwauliza bei na ikiwezekana muelewane kabisa nyie na mateja mzigo ukifika mnaelewana analipa mnamtumia.
mngefanya ivyo ingekuwa vizuri sana lakini kwa kuweka ivyo2 hii ni vita ya muuzaji na mteja kuanza kueleweshana.
2026-06-06 09:50:14
1
🦋NICELY FASHION🥀 :
mbn dar sijaona
2026-06-05 16:51:16
1
Eng. Noboka :
kwenye kusafirisha simu mbona hamfati hizo bei
2026-06-06 04:40:53
1
Dadawamakamo :
Mbona juz nimetumiwa kwa Afu kumi?
2026-06-06 05:42:12
1
watupoa-couple :
bukoba huwa napokea kwa 15 mzingo wa kawaida mkubwa kias ni 20
2026-06-06 07:29:42
1
invyo_collection_store :
mmh hapa mmenikosa mbeya 🙌🏽 hadi mtapoturudishia afu tano kwan
2026-06-06 11:46:31
2
yarseen mustafa :
kilo 100 mbeya-dodoma bei gan
2026-06-06 15:10:41
0
Conquer :
Chato unakuja hadi chato kabisa au unaishia Bwanga??
2026-06-06 04:39:31
1
roty0624 :
asa chato inakuje 150000,afu bukoba 10000,wati bukoba iko mbele ya chato mwishoni kabsa huko🤣🤣🤣🤣
2026-06-06 07:22:52
1
♪♪¢@ :
mim8 nimewaza hapo bagamoyo na arusha , alafu arusha na babati, tunapigwaaaa au hao watu huagiza mizgo mikubwa🤣🤣🥰
2026-06-06 05:50:23
1
mc sindwendwe :
shiyanga ndio wap
2026-06-06 09:15:43
0
Travela chapter 8 :
mmmh Hawa watu Hadi nirihic nimetapeliwa mzigo wang asee imagine mzigo ulichukua siku 4 kutoka dar to Arusha akiiii hapana🙌🙌🙌🙌
2026-06-06 12:31:29
1
deegee298 :
Saiv mnaenda kila mkoa
2026-06-06 10:09:55
0
🕊️ :
sioni biharamulo 😅
2026-06-05 17:10:32
0
dr.amore :
72 ni MGUMU ya wapi
2026-06-06 06:38:55
1
Dolphthlix99 :
me nliambiwa mbeya 5k
2026-06-05 16:43:06
1
bebecool😘 :
Kutoka dodoma kwend kigoma huduma ipo
2026-06-05 14:49:03
1
Grecious Kimambo :
mbona mpanda katavi na Songwe haipo
2026-06-06 03:32:27
1
P :
kutoka Dodoma kwenda karatu
2026-06-05 14:21:21
1
stylenaade :
hivi unaweza kuhamisha vitu vya ndani kuhamia mwanza
2026-06-05 15:38:26
1
Man power solution :
Bas linalotoka dar to arusha ni Sawa na linalotoka dar to babati sasa mbn bei tofauti au mnaangalia vigezo gani mbn mnayumba usiri kampuni yangu
2026-06-05 18:00:07
4
To see more videos from user @__annie96, please go to the Tikwm
homepage.