@bbcnewsswahili: Takriban meli 1,500 na mabaharia zaidi ya 20,000 wamekwama katika Ghuba ya Uajemi kutokana na vikwazo vya Iran kwenye Mlango wa Hormuz kufuatia mzozo unaoendelea. Mabaharia hao wanasumbuliwa na mgogoro usio wahusu, huku juhudi za kimataifa za kupunguza mvutano zikikabiliwa na changamoto. Je nini Hatma ya mabaharia hawa? @ahmedbahajj anaenelezea #bbcswahili #fyp #fy #hormuz #Iran #ghuba

bbcnewsswahili
bbcnewsswahili
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 07 June 2026 09:00:00 GMT
27549
1133
9
21

Music

Download

Comments

mandisa_tz
MANDISA_TZ 🦇 :
kwahiyo watafanyaje
2026-06-07 09:02:17
0
shivo.mastar72
shivo mastar :
atali sana
2026-06-07 09:26:18
0
chau_tz
chautz :
elfu20 wengi
2026-06-07 14:42:00
0
said.ally2
Said Ally :
malekani waache hii vita mambo yataenda sawa
2026-06-07 15:49:46
0
zamdini.kilala
Zamdini Kilala :
kama asimilia ni 20 mbona milio ni mingi Sana
2026-06-07 12:36:46
0
dinhaji
dinhaji_43 :
😳
2026-06-07 09:48:34
0
mwenyekitigodzilla
mwenyekiti Godzilla fund simu :
😳
2026-06-07 09:54:53
0
snomotz
James🌲🍎 :
😁😁😁
2026-06-07 12:34:42
0
To see more videos from user @bbcnewsswahili, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About