@rashid_ahmed360: Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt Hussein Ali Mwinyi amewakaribisha wawekezaji na wafanya biashara kutoka Nchi za Kiarabu kuwekeza hapa Zanzibar na kusisitiza kwamba Zanzibar ina mazingira bora na fursa nyingi za uwekezaji katika sekta mbali mbali. #zbchabari

Rashid Ahmed
Rashid Ahmed
Open In TikTok:
Region: TZ
Friday 05 June 2026 20:49:35 GMT
4780
188
2
9

Music

Download

Comments

user755658496928
dj milu :
2026-06-06 09:06:56
0
dida.dubai
Dida Dubai :
mashallah
2026-06-06 16:41:26
0
To see more videos from user @rashid_ahmed360, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About