Mwaka 2016, nikiwa na miaka 20, nikiwa na wito wa uchungaji ndo kwanza nimeanza huduma, nilikua nausikiliza wimbo wako kila saa, wakati huo ninamuomba Mungu kwa huduma yangu, na niliuona mkono wa Bwana: Nilipata kiwanja, nilipata washirika, nilipata pesa ya kuanzisha ujenzi, Niliuona mkono wa Mungu kwa namna ambayo sikuwahi kudhania ndani ya mwaka 1.
2026-06-06 09:56:46
5
Sofia Paul :
Amena
2026-07-21 04:14:24
0
Lucky madini 🥰💚, :
This guy is having a full salvation for now 🔥🙌
2026-06-30 10:03:00
3
Mbarikiwa Kalunga :
hicho wengi hawakitambui wanathani kuonyesha magari ndio kubarikiwa kuliko hali yao halisi ya maisha
2026-07-18 12:37:18
1
kiiza Sharon :
for sure indeed keep on God bless you forever
2026-06-21 11:02:08
1
WITH GOD WE CAN DO IT TV :
amen 🙏
2026-07-16 13:49:09
0
Diane Bahaya :
You are so powerful Man of God
2026-06-30 04:06:48
0
@~IM4128🤳₩ :
point
2026-06-08 07:52:55
1
GOD MERCY FANS :
Kweli kiongozi
2026-06-06 06:03:39
5
Gospel Media Africa (GMA) :
Ooh hallelujah 🙌
2026-06-06 09:11:55
1
nancy :
jmn
2026-07-21 19:58:34
0
Alex chingula :
Amazing GOD words
2026-06-29 19:12:30
0
Chief Milambo :
ila kweli banaa 😅😅
2026-06-06 08:48:09
1
WAKUBALANSI Tz🦜🦜🦜 :
nakupenda sana najifunza kitu mungu anipe kutambua baraka zote za rohoni alizo nibalikia
2026-07-11 22:40:13
0
AYUBU MWIKOLA_255 :
hakika🙏 binafc natamani Mungu azidi kunipa mafunuo ya kumdhihirisha na kumtukuza
2026-06-06 09:41:00
3
Esther Esther :
Kweli kabisa
2026-07-08 21:54:23
0
andrewkihwelo459 :
mambo ya Mungu huwa hatuoni kinacho onekana kwa macho ya nyama. imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo kana kwamba yapo
2026-06-06 08:10:35
1
Rev. Dr. Zakaria Richard N :
Goodluck, lakini tunamuona Mungu kwa nyinbo zenu.
2026-06-06 09:55:21
4
fortunefiziboy :
nakuelewa bro
2026-06-28 20:02:20
0
Pastor Abigaely Nafula+254. :
Amen 🙏
2026-06-29 04:50:00
0
Alex chingula :
AMEN
2026-06-29 19:11:16
0
Bettympendwa😍🇰🇪 :
kweli
2026-06-28 20:55:36
0
Rev. Dr. Zakaria Richard N :
hata ninyi mkiimba kwa imani kama sisi tunavyozipokea nyinbo zenu kwa imani mtaziona baraka kama jinsi sisi tunavyoziona baraka za Mungu kupitia nyinlmbo zenu kwa sababu tunazipokea kwa imani
2026-06-06 10:00:49
0
To see more videos from user @gozbert1, please go to the Tikwm
homepage.