@seifoleboy: Jana tarehe 05/06/2026, nilitaka Serikali inieleze ni kwanini Zanzibar ilifurushwa kuwa Mwanachama wa CAF bila ya hata kuwa na kikao na kuona ni hatua gani zimechukuliwa Kwa miaka 9 tokea kufurushwa?
hapo uliposema Wenzetu tu wa Tanzania bara bass.ujue kwisha hakuna kinachokua.maana sababu ya kutolewa ni hao.
2026-06-06 10:49:24
1
ashrak :
mbn iko England, Wales ,Scotland n Ireland yote nch 1 lkn inashrk
2026-06-06 17:03:52
0
Ahmed Mahmoud :
Suali hili abadan CCM hawatoweza kuusema Ukweli
2026-06-06 06:01:30
3
Mr Sule :
Sababu zanzibar si nchi
2026-06-06 12:24:12
1
EEK ♊️ 🐐 :
Badala ya kujibu hoja mtu anatoa maelezo mengi 🤣🤣🤣
2026-06-06 14:51:28
0
Husseinbakar891 :
Kwann Hatuna uwezo wakati ZANZIBAR NI Nchi kamili
2026-06-06 10:56:45
0
maldin :
kazi unaifanya baba
2026-06-06 14:36:21
0
Willy Sajuk :
mh😂
2026-06-06 07:25:14
1
sultan :
sababu ni zipi mbona hajataja hahaha😂😂😅
2026-06-06 12:28:11
0
xhing :
hili swali hawawez kupata majibu mana wanajua nini kmetokea🤣
2026-06-06 13:41:26
0
ashrak :
wallah allah akulipe hili jambo tutafrah
2026-06-06 17:05:11
0
Husseinbakar891 :
Bado hajatujibu swali letu
2026-06-06 10:56:12
1
Mr Mtu Kwetu :
tatizo letu wazanzibari ukiwa mpinzani hoja zako siku zote ndio hizo hizo za kijinga kujifananisha na uingereza Scotland ndio nni hojawanazo wao CAF na FIFA lkn hoja yao ni muungano sio act wazalendo sio waumini wa muungano
2026-06-06 15:13:09
0
zanzibar.259 :
mamaeeee 🥸🥶🤯 unaulizwa kwanini hujanywa maji unasema chakula hakijapikwa 💤💦💥💫🗯🗯 aaaahhhh inaumiza viongozi wetu jinsi walivo wabovu
2026-06-06 15:08:46
1
abdul9 :
mmmh ondoka ondoka ondoka
2026-06-06 16:05:01
0
💘💎dida💎💘 :
nyinyi ndio tunaowategeme kuiokoa nchi hii chini ya majangili ccm Allah awasimie kwa kila hatua
2026-06-06 17:01:37
0
125 :
👍👍👍
2026-06-06 11:02:55
0
To see more videos from user @seifoleboy, please go to the Tikwm
homepage.