@mkulimasolution: TUNAUZA FOOD CHOPPER MACHINE | MASHINE YA KUCHAKATA MATUNDA NA MBOGA KWA MIFUGO ๐Ÿ“ž +255 658 375 861 ๐Ÿ“ฒ @mkulimasolution @mkulima_solution ๐Ÿ•– Muda wa kazi: Saa 1 Asubuhi hadi Saa 5 Usiku (7:00am - 11:00pm) ๐Ÿ“tegeta/kariakoo โ€“ Dar es Salaam โ€” FOOD CHOPPER MACHINE ni mashine maalum ya kuchakata matunda, mboga mboga na vyakula vingine laini kwa ajili ya kulishia mifugo kama vile: ๐Ÿ“ Kuku ๐Ÿ„ Ngโ€™ombe ๐Ÿ Mbuzi ๐Ÿ‡ Sungura na wengine. Mashine hii ina ujazo wa kilo 10 / lita 10, imetengenezwa kwa stainless steel hivyo ni imara, salama na rahisi kusafisha. โ€” Faida za Food Chopper Machine: โœ… Inachakata kwa haraka na kwa usawa โœ… Inamix vizuri vyakula kwa uwiano mzuri โœ… Inaokoa muda na nguvu โœ… Inafaa kwa wafugaji wa aina zote โ€“ wadogo na wakubwa โœ… Inasaidia kuongeza tija na afya ya mifugo โ€” MKULIMA SOLUTION tunauza mashine hizi bora kabisa na zenye viwango vya hali ya juu. ๐Ÿ“ Tembelea ofisi yetu Tegeta โ€“ Dar es Salaam au wasiliana nasi moja kwa moja: ๐Ÿ“ž Call/WhatsApp: +255 658 375 861 โ€” #foodchopper #chakulachamifugo #mashineyamifugo #kulishiamifugo #mifugobora MKULIMA SOLUTION | DAR ES SALAAM

MKULIMA SOLUTION
MKULIMA SOLUTION
Open In TikTok:
Region: TZ
Sunday 07 June 2026 06:32:47 GMT
16266
237
11
31

Music

Download

Comments

jackiekailembo
jackiekailembo :
Uko Wapi?? Nakipataje??
2026-06-08 19:10:05
0
ahmed.al.manaj
Ahmed Al manaj :
No Za simu
2026-06-14 09:17:06
0
johnrobertmwingir
johnrobertmwingira :
Kwa sisi wenye mashamba yasiyo na umeme. Zipo za kutumia mashine za deisel machine?
2026-06-07 18:57:20
0
mc.nenga
Mc nenga :
bei
2026-06-09 16:03:52
0
kipepeo12
Azu Zah283 :
sh ngap
2026-06-07 14:06:18
0
_a.l.b.u.s.s.a.y.d_72
BIN_AHMED :
ivo visu vya raund unavo
2026-06-14 16:04:48
0
To see more videos from user @mkulimasolution, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About