@malongwe_gallery: #tanzaniantiktok🇹🇿 #swahilitiktok #viralvideo #jifunzekitu

MALONGWE GALLERY
MALONGWE GALLERY
Open In TikTok:
Region: TZ
Monday 08 June 2026 05:45:34 GMT
87514
2833
300
123

Music

Download

Comments

chiristina.nyarus
Chiristina Nyarusi :
nakukubali sana umenyooka kiukweli
2026-06-08 06:50:14
64
frank.sinatra0551
frank Sinatra :
kuna yule waziri wa maji aweso na mke wake yaan kila akiongea kila akijamba ni Samia,samia samia
2026-06-08 10:57:13
46
fadhilichaula548
MÀÑŸÒTÀ ĴŔ99 :
fact sanaa brother ✅
2026-06-08 10:49:35
2
mugaiga_alex.r
CEO _R.co.Ltd.🐄 :
Mh Bashungwa hadi anapitiliza😁😅🔥🔥
2026-06-08 07:34:47
34
user5211212487618
Lord :
Yaani mpaka mtu unahamisha chaneli
2026-06-08 13:52:46
22
user8042520465823
haji ramadhani :
kiukweli hii media inachambua mambo mazur san
2026-06-09 05:17:06
8
michael.manyanda8
Manyanda Msukuma. 🇹🇿 :
Hio mie uwa spend kbs.Ndo maana hata Serengeti boy nilifurah sana kufungwa.
2026-06-09 04:07:28
10
teddyshauritanga3
tms :
bora kaka Oscar umenisaidia hiki kitu huwa kinanikera sana
2026-06-08 13:09:00
19
keegan45977
Keegan :
wanajificha kwenye jina la Rais lkn uwajibikaji zero,
2026-06-08 06:04:40
14
yuzarsif0775
yuzarsif0775 :
cyo kwa samia t hata wakati wa wote waliostaafu ilikua hvhv kwa hyoo tuacheni siasa za hovyoo hayoo hayakuanza leo
2026-06-08 11:21:42
7
user329661027724
mackenzie :
Ccm Wana Mungu wao anaitwa mwenyekiti wa chama anaabudiwa kuliko hata Mungu wa kweli maendeleo ya nchi yako mikononi mwake katiba ya hovyo sana hii
2026-06-08 12:02:29
13
ferooz.tiz.g7
ferooz tiz G7 :
naona mmeanza kubadilika sasa
2026-06-08 13:03:46
10
user13977670926728
KANDIwITI@ mijengo :
oska oska oska nimemuita mar3☺️☺️☺️
2026-06-08 10:10:02
9
ben.masero
Ben masero :
Umeongea ya moyoni mwangu😂
2026-06-08 14:33:13
7
user42750775578246
Dhahabu :
Yani osca mm Kuna mda nakupenda sana ukiamua kunyooka hua huna Kona Leo pia umeongea point sana 🫡🫡🫡❤️❤️❤️🏆👑👑👑👑🇰🇪🇹🇿🇹🇿🔥
2026-06-08 11:56:55
7
dmmbaga
Daniel :
Well said bro
2026-06-09 03:17:12
0
kattony2
Maish :
This is what makes me un happy with this kind of leaders
2026-06-09 06:00:30
0
elias_20210
Elias paulo :
umetishaa kaka problem is all about responsibility
2026-06-09 04:53:19
0
samsonjackson664
Samson jackson :
sasa unahisi tatizo liko nanani? kati ya mlewa sifa na mtoa sifa?
2026-06-08 18:32:01
5
farahanichoroko
farahanichoroko :
Brother akika umeupiga mwingi sn
2026-06-08 10:47:59
5
did.elia
Did Elia :
sikuzote mm naamini watendaji walifanya kazi vizuri sifa zitainuka automatically wananchi ndio wanaopaswa kumsifu raisi na sioviongozi na kama kiongozi akisifiasifia sana bas ujue anajificha utendaji mbovu alafu anajikinga na jina nandiotatizo la nchi inayoendeshwa kiuchawauchawa
2026-06-08 08:09:39
5
smartpoint__tz
G7 Smartpoint Tz :
mimi cioni kama wanakosea maana ni maelekezo ya spika toka Bungeni
2026-06-09 06:19:21
1
idrisa.mgaya3
baba wawili97 :
mi taarifa habar siiangaliagi juu ya unafiki wa viongoz weetu
2026-06-09 06:40:54
4
theobartkingamkon
theobartkingamkon :
bagonza alisha sema sana kumsema Rais kila mahali
2026-06-08 18:20:12
3
To see more videos from user @malongwe_gallery, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos


About