@danvmartell: You sell to everyone differently, here's a few examples

Dan Martell |+1 778 652 8414
Dan Martell |+1 778 652 8414
Open In TikTok:
Region: CA
Monday 08 June 2026 15:00:33 GMT
54394
4361
23
279

Music

Download

Comments

szn_cortez
cortez :
if you're selling to people who want to succeed sell them how to sell to others
2026-06-08 16:09:41
24
thesmartbuilds
smartbuilds :
If I'm selling to CFOs and Accounting firm owners and Business owners, what exactly do i sell??🙏🙏
2026-06-08 19:28:36
2
sbilyqtrf0k
XADV-Rouge :
are u interested in a legacy product man ?
2026-06-08 21:23:37
2
asp.slrxl
Ot👁 :
hi sir,please dm me ive got a story to tell
2026-06-08 15:11:30
2
divinitydivinex
Divinity Divine :
wow
2026-06-08 15:56:00
1
biancalee24
Bianca Lee :
nice
2026-06-08 15:56:24
1
kyledodgin5
kyledodgin5 :
FYP
2026-06-08 18:22:53
1
villa67170
Villa671 :
first
2026-06-08 15:04:39
1
manchesterunitedfan016
kly :
first
2026-06-08 15:10:52
1
extrafreakybobik
George Harris SR :
hey claude sell dan martell status
2026-06-08 16:46:03
0
myreraaaaaaa
alchemist_ :
💯💯💯💯💯 mismoooooo ☝️
2026-06-08 22:14:31
0
sotipanky10
Sotipanky :
This is the way forward
2026-06-08 17:56:00
0
why.waiyan
Why Waiyan :
What if i am selling to cat people
2026-06-08 16:07:27
1
chasingpiccott
ChasingPiccott 🇨🇦 :
Hit it Dan, what would we sell you?
2026-06-08 16:12:38
1
waitsn777
Santana :
💯
2026-06-08 19:47:41
1
anita.giovanni
Anita giovanni :
@ALIGNEDWITHLACEY Thank you for your consistency
2026-06-08 15:22:19
1
benjamintheo4
Benjamin theo :
@ALIGNEDWITHLACEY You always inspire confidence
2026-06-08 15:24:02
1
adrainamonica111
Adraina monica :
@ALIGNEDWITHLACEY Your generosity inspires many
2026-06-08 15:20:39
1
stella.joe15
Stella Joe :
Grateful for people like you sharing this @ALIGNEDWITHLACEY
2026-06-08 15:28:38
0
robertson.alberto
Robertson Alberto :
@ALIGNEDWITHLACEY You are a true inspiration
2026-06-08 15:14:21
0
dominionflow
Dominion Flow :
🤔🤔
2026-06-08 21:49:32
0
To see more videos from user @danvmartell, please go to the Tikwm homepage.

Other Videos

Imebakia siku 1 pekee kwa bondia wa ngumi za kulipwa nchini Hassani Mwakinyo Jr a.k.a 'Champez Onetyme' kupanda ulingoni Tarehe 10/06/2026 kucheza pambano la Kimataifa nala Ubingwa wa Dunia wa IBO dhidi ya mpinzani wake Michel Soro raia Ivory Coast na Ufaransa. Pambano hilo litakuwa nila raundi 12 litakalo fanyika kwenye kwenye ukumbi wa Parc Des Exposition jijini Abidjan nchini Ivory Coast huku likiandaliwa na Dream Ring Boxing Promotion na litaonyeshwa Mubashara kupitia king'amuzi cha Dstv Channel ya Ss Africa 1 namba 227 majira ya Saa 4 Usiku kwa saa za Africa Mashariki na hapa nimekuletea Uchambuzi Yakinifu wa kiufundi kuelekea kwenye pambano hilo kalii. Mwakinyo Jr na Soro kiasili hawa wote ni mabondia wanaotokea kwenye kundi moja la staili ya 'Boxer Puncher' ni mabondia waliojaaliwa Ufundi (Skill's), Nguvu na Maarifa (Ring IQ) wenye kucheza mifumo yote ya upiganaji kucheza kwaku Box kwenye kufanya mitembeo au miondoko ndani ya ulingo huku wakipanga ngumi za mahesabu nakucheza kwa kutumia akili na maarifa kwa ajili kuscore Point's za ushindi na kucheza kwa kufuata nakupigana huku wakiwinda nakuweka mitego ya ushindi wa knockout's kwa kutumia uwezo wa nguvu kupitia mikono yao. Utofauti ulikuwepo Soro ni bondia ambaye ni Hit Man (Mpigaji) mwenye nguvu sana kwenye mikono yake anaependa kucheza kwa Box karibu na zone ya mpinzani kwa kufuata na kuwinda huku akiweka mitego muda mwingi kwenye usawa wa mpinzani kwa sababu ya kufanya mashambulizi ya kupiga ngumi moja moja kalii nakuchanganya zenye nguvu na miongoni mwagumi zake hatari ni Jab, Left Hook, Straight Right Hand Punch, Body Punch, Counter Punching na Combination Punches.  Mwakinyo Jr ni bondia anaependa kuchanganya changanya rhythm ya uchezaji wake kutokana na kariba ya mpinzani anaecheza naye huwa anapenda kucheza kwaku Box kwa umbali kwa kutumia vyema Jab yake kupitia mkono wake wa mbele na muda pindi anapommudu mpinzani huwa anacheza kwa kupigana zaidii uzuri anawezo mzuri wakutumia vyema miguu yake yote miwili kwenye kutanguliza mguu wake wa mbele upande wa kushoto (Orthodox) na kulia (Southpaw) jamaa ni Switch Hitter jambo linalomfanya kuwa na nguvu kupitia mikono yake yote miwili ngumi zake hatari zaidii ni Jab, Left Hook, Body Punch, Uppercutt na Counter Punching. Soro ana rekodi ya Total Fight's 44, Win's 38, 'KO'S' 27, Lose 4 Draw 2. Mwakinyo Jr ana rekodi ya Total Fight's 28, Win's 25, 'KO'S' 18, Lose 3 Draw 0. Mungu Ibariki Tanzania Mungu Wa Bariki Watu Wake Let's Go Champez. Mn Boxing Media Tanzania #wasafitv #crowntvtz #cloudstv #azamsportshd #tanzaniaboxing
Imebakia siku 1 pekee kwa bondia wa ngumi za kulipwa nchini Hassani Mwakinyo Jr a.k.a 'Champez Onetyme' kupanda ulingoni Tarehe 10/06/2026 kucheza pambano la Kimataifa nala Ubingwa wa Dunia wa IBO dhidi ya mpinzani wake Michel Soro raia Ivory Coast na Ufaransa. Pambano hilo litakuwa nila raundi 12 litakalo fanyika kwenye kwenye ukumbi wa Parc Des Exposition jijini Abidjan nchini Ivory Coast huku likiandaliwa na Dream Ring Boxing Promotion na litaonyeshwa Mubashara kupitia king'amuzi cha Dstv Channel ya Ss Africa 1 namba 227 majira ya Saa 4 Usiku kwa saa za Africa Mashariki na hapa nimekuletea Uchambuzi Yakinifu wa kiufundi kuelekea kwenye pambano hilo kalii. Mwakinyo Jr na Soro kiasili hawa wote ni mabondia wanaotokea kwenye kundi moja la staili ya 'Boxer Puncher' ni mabondia waliojaaliwa Ufundi (Skill's), Nguvu na Maarifa (Ring IQ) wenye kucheza mifumo yote ya upiganaji kucheza kwaku Box kwenye kufanya mitembeo au miondoko ndani ya ulingo huku wakipanga ngumi za mahesabu nakucheza kwa kutumia akili na maarifa kwa ajili kuscore Point's za ushindi na kucheza kwa kufuata nakupigana huku wakiwinda nakuweka mitego ya ushindi wa knockout's kwa kutumia uwezo wa nguvu kupitia mikono yao. Utofauti ulikuwepo Soro ni bondia ambaye ni Hit Man (Mpigaji) mwenye nguvu sana kwenye mikono yake anaependa kucheza kwa Box karibu na zone ya mpinzani kwa kufuata na kuwinda huku akiweka mitego muda mwingi kwenye usawa wa mpinzani kwa sababu ya kufanya mashambulizi ya kupiga ngumi moja moja kalii nakuchanganya zenye nguvu na miongoni mwagumi zake hatari ni Jab, Left Hook, Straight Right Hand Punch, Body Punch, Counter Punching na Combination Punches. Mwakinyo Jr ni bondia anaependa kuchanganya changanya rhythm ya uchezaji wake kutokana na kariba ya mpinzani anaecheza naye huwa anapenda kucheza kwaku Box kwa umbali kwa kutumia vyema Jab yake kupitia mkono wake wa mbele na muda pindi anapommudu mpinzani huwa anacheza kwa kupigana zaidii uzuri anawezo mzuri wakutumia vyema miguu yake yote miwili kwenye kutanguliza mguu wake wa mbele upande wa kushoto (Orthodox) na kulia (Southpaw) jamaa ni Switch Hitter jambo linalomfanya kuwa na nguvu kupitia mikono yake yote miwili ngumi zake hatari zaidii ni Jab, Left Hook, Body Punch, Uppercutt na Counter Punching. Soro ana rekodi ya Total Fight's 44, Win's 38, 'KO'S' 27, Lose 4 Draw 2. Mwakinyo Jr ana rekodi ya Total Fight's 28, Win's 25, 'KO'S' 18, Lose 3 Draw 0. Mungu Ibariki Tanzania Mungu Wa Bariki Watu Wake Let's Go Champez. Mn Boxing Media Tanzania #wasafitv #crowntvtz #cloudstv #azamsportshd #tanzaniaboxing

About