Naomba wa zanzibar mkazie hapo hapo ili nasisi tupange nguvu au sababu ya kuwatoa town karia koo na Tandika wako wengi madukani so naomba mkazie hapo hapo nkamiliki genge la mpemba Tandika..😁
2026-06-10 08:07:29
7
Melanin _255🇹🇿🍀🌸 :
Yan hawa nyumbu wangekatiwa tu umeme wetu! Mijitu yenyewe mivivu kweli haifanyi kazi
2026-06-10 06:42:35
8
Official_RaphY :
habibi welcome to zanzibar zanzibar hakun matata
2026-06-10 09:07:04
1
Bantu Tour Guide :
Mheshimiwa anayeleta mjadala wa ajira za hoteli ana sahau haraka sana. Hivi anajua kuna Wazanzibari wangapi wanaendesha maisha na biashara zao kule Bara bila kubaguliwa? Tukianza hizi siasa za kibaguzi, nani ataumia zaidi? Badala ya kulialia
2026-06-10 04:09:50
7
officalzito91 :
hata Tanganyika ajira iwe Kwa watanganyika na wageni wa nje tofauti na Zanzibar
2026-06-10 07:00:44
2
Chadi Boy :
huyu huyu ndie aliesema hatutaki kambare
2026-06-10 10:35:05
0
Paschal philipo petro :
wawewazawa ni hotel zao?
2026-06-09 19:31:55
4
mwinulabeatus :
Anahoja. Serikali inatakiwa kulinda ajira za wananchi wake/ wazawa. Huku kwetu bara hatufanyi vizuri sana (ni tatizo binafsi)
2026-06-10 05:09:20
2
owino :
naomba muungano huvunjwe nakilanchi hijitegemee tuone kama hizo hoteri zitawapa Umeme
2026-06-10 08:38:28
0
Anko praise :
kwani zanzibar wenyewe wanasemaje
2026-06-09 21:19:47
0
star :
hawa watu mkiwachekea watawapanda sana kichwan vijana wetu kwan vijana wabara cyo vijana wenu na vipi kuusu wazanzbar wanaouza maeneo zenj wanahamia tanga huko ni kwao
2026-06-10 08:20:33
1
josephtesha00 :
ubaguzi kwa wavivu ushafika
2026-06-09 16:17:35
1
Hemed Kessy :
WABUNGE WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA INABIDI HILI SUALA LIJADILIWE,HAIWEZEKANI ANASIMAMA PAKA MMOJA ANATUNYANYASA NA KUTUBAGUA KWANI WAO HAWAPO HUKU? HAWAMILIKI CHCHT!!!!? HAWAPO KWENYE AJIRA!!!!? nasisi pia hiyo kazi tunaiweza,wao pia waondoke kwenye ajira za BARA
2026-06-10 07:20:04
1
Max :
nasisi hatuwataki uku bala
2026-06-10 04:16:48
0
Ahmada :
ZANZIBAR KWANZA TANZANIA BADAE
2026-06-10 08:19:55
0
user9725190722665 :
TUFUKUZENI MUKAE WENYEWE TUNACHO TAKA TUSIO KUA WAZAWA NA TUKAWA TUMECHANGIA MFUKO WA HIFADHI ZSSF TUPWE PESA ZETU ZOTE...
2026-06-10 06:03:58
0
+cloud :
wala urojo wanaweza kufanya kazi
2026-06-09 12:36:49
1
Bantu Tour Guide :
Sekta ya utalii sio ofisi ya kugawa hisani, ni biashara ya kimataifa inayotafuta viwango na huduma bora. Mwekezaji haangalii sura au asili, anaangalia nani anajua kazi. Kuliko waziri kukaa na kulalamika nani kashika ajira, atwambie SMZ imeweka mikakati gani kuinua viwango vya vijana wa hapa ili wajiajiri au waajirike. Ubaguzi haujengi uchumi!"
2026-06-10 04:09:09
4
Eddo :
Sasa mnataka wafanye wazawa wakati nyie wenyewe mavivu kusoma, au mnafikiri kwenye hospital mtaweka watu wa form four?
2026-06-09 14:13:37
1
njaa kalisana :
yani tunako elekeya ni kubaya sana
2026-06-10 01:24:39
1
Ameir Habeish :
dunia nzima wazawa mwanzo
2026-06-09 18:54:18
1
Prince Consort :
Zanzibar inaota makuchaaa juzi samia kaenda kuzindua direct flight to russiua
2026-06-09 12:32:25
1
Joetiptop :
Kumbe ndomana wanauza kachori nayo nikazi jamani tanganyika yetu tupewe tu ili wajifunze
2026-06-09 12:44:23
1
DJ LYTA :
mbinafsi mpe muda tu MATENDO yake lazima yaonekane
2026-06-09 16:01:03
1
Reform clasic :
hawa watu ni wabaguz, wabinafsi da! muungano hatuutaki kwakweli 7. 7. kitaeleweka
2026-06-09 12:38:11
0
To see more videos from user @mwaipaya_, please go to the Tikwm
homepage.