@doctortiktoktz_: CHECK UP NA MATIBABU YA PID Dr tiktok 0693676137 * Wiki 4–5: Huonekana mfuko wa mimba (gestational sac) ndani ya uterasi. * Wiki 5–6: Huenda ikaonekana yolk sac (kifuko kinacholisha kijusi mwanzoni). * Wiki 6 na kuendelea: Kijusi (fetal pole) na mapigo ya moyo yanaweza kuanza kuonekana. Ikiwa ultrasound imefanywa mapema sana, daktari anaweza kusema mimba ni ndogo kiasi kwamba bado haijaonekana vizuri, na kupendekeza kurudia kipimo baada ya wiki 1–2. Kama una picha ya ultrasound yako, unaweza kuituma nikusaidie kuielezea. #videoviraltrending #trendingviralvideo #fyppppppppppppppppppppppp #reelsvideo #doctortiktoktrending
mmi tangu mwez3 sijaingia priodi nkipima sina mimba
2026-06-10 12:59:58
4
jamilayusufu :
doctor
wiki 30 ni sawa na miez mingap
mbn nipo hoi ivi
na nikiangalia mtoto amekamilika kabisa
2026-06-13 17:23:23
1
Gakyme :
mm imetoka ya miez 2😭😭💔
2026-06-11 09:42:31
3
Ragather :
me Ina mwezi na nusu Jana nmepga ultrasound wanasema mimba ipo ila ndan ya mfuko akuna ktu knaonekana
2026-06-11 10:07:38
3
Mrs Ryu sio💖💕 :
mie cjaziona siku Zang miez miwili na napatwa na maumivu ya kiuno na tumbo
2026-06-10 17:25:59
3
Jlo :
mimba ya mapacha inaonekana kwenye ultrasound ikiwa ni miezi mingap
2026-06-11 02:58:06
2
goldenboyi3 :
kikawaida mjamzito anatakiwa kuanza klinik muda gani na kupata kipimo cha ultra sound
2026-06-10 14:11:17
3
Alice masu mkali :
jonsia ya mtoto inaonekana mimba ikkiwa na umri gani?
2026-06-11 17:48:24
1
Joyce Dan :
Naomba nisaidiwe maziwa yakitoka kwa mjamzito ni sawa kwelii??
2026-06-12 07:23:53
1
T@tu seph :
Kwahyo mwezi mmoja mmtoto haonekani kwa autrasound?
2026-06-10 18:17:13
2
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 :
Kuna mm niliambiwa uvimbe wa cm 3.3 kwenye ultrasound lkn after one week baada ya kuwa sjioni sawa kupima ni mjamzito je yaweza kuwa ni mimba ndo ilisemekana uvimbe au maana alikuwa anauliza mwisho kuona siku zangu na mm mzunguko wangu ulikuwa unabadilika Kuna wakat 21 26 28 mpaka 34
2026-06-11 04:47:04
1
bint bn ally :
unaandik kwa kiswahili kisha kizunguu unawafahamisha waswahili bc tukuelew na km wazingu bas pia
2026-06-10 22:14:56
1
bevarlyne :
nikienda scanning ninaujauzito nikipima ina toka negative na hata naona period kama kawaida tatizo linaweza kuwa nini
2026-06-10 19:34:34
1
🦋tee🦋 :
Me week 20 ila mwanangu katanguliza matako naweza kuona jinsia
2026-06-10 20:28:37
1
Lilian eddo :
dokta wk 22 inaonyesha Jisia pls
2026-06-10 13:27:49
1
thunaithat :
dokta wiki 32 miez mingapi pls
2026-06-10 07:14:54
1
aisha :
dr period ya mwisho nilipata 27 mwezi wa 4 hadi leo nimejalibu kupima kipimo cha mkojo nimeona mstali mmoja hata cjuwi nifanyeje dr
2026-06-12 16:38:08
1
Cute Bi 💞💫 :
me period ya mwisho ilikua trh 13 mwez wa kwanza mwezio wapili cjaona mwez watatu nikapima nikajikuta tayr ila chakushangaza cjaona dalili zaid wa kulala asubuh nikimaliza kunywa chai ucngiz mzito Sasa me nilitaka unisaidie itakua na miezi mingap...? ili nianze kilinik
2026-06-11 20:12:25
0
Claire 🏍️🛠️⚒️⛏️🔨 :
Nina bleed Niko na mimba
2026-06-14 08:49:41
1
makasi :
kuna kitu nataka kujua scanning usema ukweli jamani
2026-06-12 13:33:05
0
suzyjayc💫 :
ultrasound ya ndani bei gani?
2026-06-12 13:46:24
0
neymah :
mwisho wakuona period ilikua 28 mwezi wa pili hadi saivi miezi mingap ya mimba jamoon
2026-06-11 13:49:03
0
hellenajulius mponzi :
mimi wiki 21 nikikaa matako yanauma tatizo nn?
2026-06-11 08:06:48
0
Little angels wear :
Kijusi
2026-06-11 16:29:50
0
To see more videos from user @doctortiktoktz_, please go to the Tikwm
homepage.